Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Michezo ni upendo na uleta undugu na hivyo kuweka hali ya amani popote pale duniani.Mwakyembe kwa kushirikiana na TFF wacheni kabisa kupandikiza migogoro ndani ya Yanga waacheni wafanye uchaguzi wao kwa kutumia katiba yao na pia hao TFF wajitathimini sana kwa kuwa na ndimi mbilimbili.
Kama walimtoa Sanga kwenye nafasi ya uenyekiti wa vilabu vya ligi kuu ya soka Tanzania bara kwa kudai kuwa Manji karejea kazini inakuwaje leo hii TFF hiyo hiyo inamkataa Manji kuwa bado ni mwenyekiti wa Yanga?
Hii ni mbinu ya kutaka kuleta mgogoro ndani ya hawa mafarasi wakubwa wa soka la Tanzania.
Kama walimtoa Sanga kwenye nafasi ya uenyekiti wa vilabu vya ligi kuu ya soka Tanzania bara kwa kudai kuwa Manji karejea kazini inakuwaje leo hii TFF hiyo hiyo inamkataa Manji kuwa bado ni mwenyekiti wa Yanga?
Hii ni mbinu ya kutaka kuleta mgogoro ndani ya hawa mafarasi wakubwa wa soka la Tanzania.