Mwakyembe alitumika kumuumiza Lowassa kwenye kashfa ya Richmond

Kwani Kyela kuna nini ?
Makuzi ya Mwakyembe kwa kiasi kikubwa yalikuwa nje ya Kyela kwa vile Marehemu baba yake alikuwa mwalimu. Hivyo alikuwa anahamahama sana. Kwa Kyela ni mtu wa kuja, ndiyo maana alikuwa anatumia nguvu nyingi kushinda uchaguzi
 
Acheni kupotosha Mwakyembe alifanya Kazi yake vzr mambo Mengine tuchukulie ni mambo ya kibidanamu Lowassa hakuwa malaika mapungufu yake hatuwezi kuyaondoa saizi yy anajua na Mungu wake
Your browser is not able to display this video.

Hoja ya kamati kutomuhoji Lowasa ilishawahi kujibiwa? Unawezaje kwenda mpaka US kutafuta ukweli, halafu muhusika usimpe hizo tuhuma ajitetee?
 
Mimi ninavyojua lowassa alikua anaepa kuhojiwa na nafasi ya kujitetea alipewa. Mwakyembe alifanya kazi nzuri na hilo la kuacha kutoa kila kitu hadhani naona ni kwa faida ya nchi.
Lowassa ametangulia mbele ya haki ingefaa tumuache na mungu wake maana ndiye atamhukumu kwa wema au ubaya wake. Sisi kama walimwengu hakuna ajuae kesho yake. Tumuombee lowassa mapumziko ya amani.
 
Ndiyo akawekewa sumu na kundi la wasa ili afe yeye na homeboy wake. Ila mbi ana dhambi sana
 
Kamati ilienda hadi Marekani, lakini hapo Dodoma wakakwepa kumhoji mtu muhimu zaidi kwenye uchunguzi wao. Haikuwa haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…