Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
- Thread starter
- #41
Makuzi ya Mwakyembe kwa kiasi kikubwa yalikuwa nje ya Kyela kwa vile Marehemu baba yake alikuwa mwalimu. Hivyo alikuwa anahamahama sana. Kwa Kyela ni mtu wa kuja, ndiyo maana alikuwa anatumia nguvu nyingi kushinda uchaguziKwani Kyela kuna nini ?