Mwakyembe: Kati ya wasanii 10 duniani wenye sauti nzuri Diamond huwezi mtoa

Mwakyembe: Kati ya wasanii 10 duniani wenye sauti nzuri Diamond huwezi mtoa

Kupiitia kipindi hewani cha mshereshaji muimbaji mwanamashairi mwanausasa Mrisho mpoto thedon kiitwacho KAA HAPA. Waziri Mwakyembe akakaribishwa kimahjiano.

Katika mahijiano hayo yaliyojaa kuangalia maadili ya nyimbo zeto na music video wanazotoa,akaibua jambo buana lakumpa heko balozi wa wasanii Nassibu Abdul a.k.a Diamond Platinumz.

Mwakyembe akaeleza kwamba "tuchukulie kijana kama diamond,sauti yake peke yake inatosha kabisa kuuza,ukisema wasanii 10 duniani tuwe wakweli tu!wenye sauti nzuri,diamondi huwezi kumtoa pale"Mwakyembe

Hivi ni sawa kwa takwimu aliyoitoa mwakyembe kwa diamond au ndo kumpapasa kijana etu apoe...

Mi naona mondi ni kama wa laki mbili hivi mpaka kumuona yeye
Anapajua duniani kweli huyu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa Sauti,binafsi nampendekeza
1.Juma Nature
2. 2 Pac
3.Alicia Keys
4.Bob Marley
5.Shaggy
6.Celine Dionne
7.Nyota ndogo
8.Davido
9.Lady Jdee
10.Snoopy Dogy
11.Ludacris
12.Beyonce
13.Kanye West
14.Nick Minaj
15.Fally Ipupa
16.Ali Kiba
17.Q Chief
18.Diamond platinum
19.Albert Mangwea
20.Mbaraka Mwinshehe
21.Malijani Rajabu
22.Luck Cube
23.Da brat
24.Shilole
25.Beyonce
26.Barnabas
27.Baraka
28.Mbosso
29.Michael Jakson
30.Culture
31.Koffie Olomide
32.Yondo sister.
33.Abeti masikini
34.Fid Q
35.The Game
36.50% cent
37.Dully Sykes
38. Godbless Gozbert
39.Pink
40.Peter Tosh
41.Stamina
42.Joslini
43.Rwambo
44.Tx Moshi William
45.Nico Zengekala
46.Judy Spack
47.Remmy Ongala
48.Eminem
49.Notorious BIG
50.Mwasiti
Ney Wa mitego na kala pina kwa nini hujawaweka?
 
Back
Top Bottom