Mwakyembe: Marufuku kumuliza Azory Gwanda alipo. Mbona viongozi wa Serikali hamuwaulizii? Waliokashifiwa na gazeti la Tanzanite waende Mahakamani

Alivyopewa poison ndo ilikuwa chance ya kuliacha liatangulie......[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
 
Angekua ndugu yake amepotea angeongea kauli kama hiyo? God forbid
 
Hii sikuwahi kuisikia kwahiyo azory is no more
 
Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
kwa gazeti hili tu, mbona magezeti mengine hufungiwa bila ya kutolewa haki mahakamani?
 
Huyu ni mwanasheria mpuuzi sana
Mtu anapotea mwanasheria nguli hakutaka watu wahoji ati ni hoja dhaifu ??
Ati serikali idhibiti utoaji wa maoni? Yaani mwanasheria mbobevu wa katiba alidiriki kusema haya kweli?
Afu juzi anajitoleza ati anakemea ushoga?
Siyo siri tulifikishwa papaya sana kama taifa
 
Wacha weeeee !!!!
 
Una uhakika kweli uyu mwamba anazo degree 4 ?[emoji848]
Wewe wa Darasa la saba utaniuliza nini mimi mwl wa vyuo vikuu mbali mbali , nina digrii 4 , sana sana labda utanieleza kwamba huna hela ya kula mfukoni ili nikusaidie - Mwakyembe
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ