Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Ni wajinga tu ndio wanaofurahia huu utawala.
Ile polonium imekuwa na athari za kudumu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wajinga tu ndio wanaofurahia huu utawala.
Magazeti ambayo huwa yanafungiwa na serikali, ni nani ambaye huwa ameenda mahakamani? Wendawazimu mtupu!Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
Huyu dr amekula uporo wa nini??
Kwa niaba ya wananchi wa Kyela wakiwemo wazee wetu waliotulea kwa maadili mazuri mno , naomba kuchukua nafasi hii kuomba radhi sana kwa Kauli zisizo za kibinadamu zinazoendelea kutolewa na Mbunge wetu bungeni na kwingineko , lugha hiyo chafu haiakisi Tabia zetu sisi wana Kyela , ichukuliwe kama Tabia binafsi ya Mwakyembe mwenyewe .Nadhani ana ukichaa wa aina fulani.
Ile sumu haijaisha akilini.Huyu dr amekula uporo wa nini??
Nakumbuka tulimuombea sana, I wish Israili angefanya yake.Ameshajisahau kama nae alibabuka kweli kwa maajabu mengi karibu Tanzania
Sahihisho:- ...ikitokea Bahati nzuri.......Sawa tumesikia ila ikitokea Bahati mbaya kwake tusiulize pia
Yale magazei yaliyowahi kufungiwa walalamikaji ambao ni serikali walikwenda Mahakama ipi kulalamika kisha ikatoka hukumu ya kuyafungia???Namimi swala la Tanzanite naunga mkono. Mtu kama hatendewi haki na gazeti flani kwanini haendi mahakaman?Badala yake naye anakuja mitandaoni kutoa shutuma zake. Haki inatolewa mahakaman sio kwenye page za social networks.
Hatari!Dr Mwakyembe ataka watu waache kuuliza alipo Azory Gwanda.
Na:Maregesi Paul, Dodoma
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amewashangaa watu wanaofuatilia mahali alipo mwandishi wa habari Azori Gwanda.
Dk Mwakyembe ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2019/20.
Amesema kwamba pamoja na kwamba watu wengi wanataka kujua alipo Gwanda lazima waelewe kwamba eneo alilopotelea mwandishi huyo walipotea watu wengi wakiwamo viongozi wa Serikali.
Kutokana na hali hiyo Waziri huyo amesema watu wasiendelee kufuatilia mahali alipo mwandishi huyo kwa kuwa hilo ni suala dhaifu.
Dk Mwakyembe aliyasema hayo bungeni leo alipokuwa alihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/20.
“ Pamoja na hayo Serikali itaendelea kudhibiti watu wanaokiuka utoaji wa maoni kwa kuwa hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,”amesema Dk Mwakyembe.
Katika hatua nyingine Waziri huyo amewataka watu wanaokashifiwa na magazeti wakalalamike mahakamani kwa kuwa ndiko haki inakopatikana.
Source:Mtanzania Online