The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Mimi huwa sionagi maana kabisa kwa kiongozi mkubwa kugawa pesa hadharani au majukwaani?
Unakutana na mwananchi moja anatatizo unamgawia hela pale pale lakini ukiondoka hutoi maagizo au hata ushauri wa namna gani unaweza kuwasaidia watu wengine wenye matatizo sawa na yule uliye mpa cash
Kikwete alipoamua kumlipa Maximo wakati huo niliona ni jambo la maana kuliko maigizo ya akina Mwakyembe
Unakutana na mwananchi moja anatatizo unamgawia hela pale pale lakini ukiondoka hutoi maagizo au hata ushauri wa namna gani unaweza kuwasaidia watu wengine wenye matatizo sawa na yule uliye mpa cash
Kikwete alipoamua kumlipa Maximo wakati huo niliona ni jambo la maana kuliko maigizo ya akina Mwakyembe