Mwaliko kwa makundi mbalimbali kuwasilisha orodha ya watu kuteuliwa Bunge la katiba

Mwaliko kwa makundi mbalimbali kuwasilisha orodha ya watu kuteuliwa Bunge la katiba

Profesa

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
905
Reaction score
624
"...Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anapenda kutoa mwaliko kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na waziozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (2A) cha kifungu cha 22 cha sheria ya Mabadiliko ya Katiba, sura ya 83 kinachomtaka Rais kuwaalika kila kundi lililoainishwa chini ya kifungu kidogo cha (1) (c) kutoka pande zote za Muungano kuwasilisha kwake orodha ya majina yasiyopungua 4 na yasiozidi 9 kwa ajili ya kuzingatiwa katika uteuzi...". Tangazo la Serikali Na. 443 limechapishwa tarehe 13/12/2013, na kama Linavyoonekana katika Daily News la Jumatatu Tarehe 23 Disemba, 2013.

Kwa taarifa zaidi soma hapa: THE GOVERNMENT OFFICIAL BLOG: Mwaliko wa Makundi mbalimbali kupendekeza majina ya watakaoteuliwa Wajumbe wa Bunge la Katiba
 
Wana Jukwaa salams.

Nimesikia jana Waziri wa katiba na Sheria Mh. Chikawe akikumbushia tangazo la serikali ili taasisi na Majukwaa mbalimbali kutuma majina ya wawakilishi kuanzia 4 na wasiozidi 9(kama sijakosea).Sasa je? JF haiko eligible kutuma wawakilishi na je kama ndio nani atuwakilishe?

Naomba kuwasilisha.
 
JF hatutaki kuitikia mwaliko wa mh. Rais? Naomba kuwakilisha JF
 
Wana Jukwaa salams.

Nimesikia jana Waziri wa katiba na Sheria Mh. Chikawe akikumbushia tangazo la serikali ili taasisi na Majukwaa mbalimbali kutuma majina ya wawakilishi kuanzia 4 na wasiozidi 9(kama sijakosea).Sasa je? JF haiko eligible kutuma wawakilishi na je kama ndio nani atuwakilishe?

Naomba kuwasilisha.

Shark!!
 
Last edited by a moderator:
Kama tukipewa hiyo nafasi basi ningependekeza majina mawili

Mwanakijiji na pasco,

Ni maoni yangu tu, ila kama pasco akiwa anaumwa The big Show na ng'wamapalala watafaa kuchukua nafasi yake
 
pasco bahasha za khaki zilishathiri objectivity yake wakimuonesha bahasha atatuuza, ng'wamapalala unampigia debe sababu ni mbeba box mwenzio in her majesty's kingdom wewe gamba lukosi...
mwanakijiji haeleweki kama mbongo au mmarekani kwani hata baadhi ya cia wanaongea kiswahili fasaha.
 
the big show labda aiwakilishe bakwata,hili jamaa ni lidini balaa..wewe lukosi wakilisha taasisi ya wezi wa rambirambi za wajane.
Mkuu kitengo cha rambi rambi niachie mie, nitahakikisha nachangisha vilivyo
 
pasco bahasha za khaki zilishathiri objectivity yake wakimuonesha bahasha atatuuza, ng'wamapalala unampigia debe sababu ni mbeba box mwenzio in her majesty's kingdom wewe gamba lukosi...
mwanakijiji haeleweki kama mbongo au mmarekani kwani hata baadhi ya cia wanaongea kiswahili fasaha.
Hizo bahasha za khaki kila mtu anazipenda hebu jifikirie kwanza halafu urudi hapa kenge wee!
 
Kama tukipewa hiyo nafasi basi ningependekeza majina mawili

Mwanakijiji na pasco,

Ni maoni yangu tu, ila kama pasco akiwa anaumwa The big Show na ng'wamapalala watafaa kuchukua nafasi yake
Nafasi hupewi. Unaipigania. JF ni kijiwe....
 
JF haina sifa ya kupeleka mwakilishi kwani sio visible operating forum/jukwaa. haifanyi kazi kwa uwazi, wanachama wake hawakutani na wana interests zinazotofautiana. Kwa hiyo tusipotezeane muda katika huu mjadala!
 
Talk for your self.
Behind the seen we meet, we talk, we plan and we execute our plans.
If we you think we are INVISIBLE it is just you, many of us are visible and alive.

JF haina sifa ya kupeleka mwakilishi kwani sio visible operating forum/jukwaa. haifanyi kazi kwa uwazi, wanachama wake hawakutani na wana interests zinazotofautiana. Kwa hiyo tusipotezeane muda katika huu mjadala!
 
Back
Top Bottom