Mwaliko kwa makundi mbalimbali kuwasilisha orodha ya watu kuteuliwa Bunge la katiba

Mwaliko kwa makundi mbalimbali kuwasilisha orodha ya watu kuteuliwa Bunge la katiba

Wana Jukwaa salams.

Nimesikia jana Waziri wa katiba na Sheria Mh. Chikawe akikumbushia tangazo la serikali ili taasisi na Majukwaa mbalimbali kutuma majina ya wawakilishi kuanzia 4 na wasiozidi 9(kama sijakosea).Sasa je? JF haiko eligible kutuma wawakilishi na je kama ndio nani atuwakilishe?

Naomba kuwasilisha.
mimi gogo la shamba naiomba hiyo nafasi, Nitashukuru sana kama nitaipata nahahidi kuwa muwakilishi makini
 
Kwa mfano MSALANI anatumwa kuiwakilisha JF halafu anasimama kutoa hoja zake " mimi naitwa MSALANI kutoka Jamiiforums, ushauri wangu ni ................"
Sasa imagine zile pumba za MSALANI, wale wasioijua JF watajua kuwa ni mahali pa msalani kweli. Tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:
If this issue is serious, the representatives should be verified users.
 
Mkinichagua mimi nitafanya mpango makanisa na misikiti ihamishiwe nje ya miji town iwe ni kufanya kazi tu tuepukane na kufungwa kwa barabara zetu nzuri ijumaa mchana kha tumechoka
 
Je hata 'vijiwe' vina haki ya kutuma wawakilishi kwenye Bunge la Katiba?
Niambeni fasta ili niombe idhini kutoka kijiweni kwangu. Kijiweni kwangu wananikubali sana; nitapita bila kupingwa.
 
Hivi tunajuana wote humu vema ili hali majina tunatumia feki? mngeomba CV kwanza muone mtakuta mna Dr Jakaya Kikwete humu!!!
 
Back
Top Bottom