Kama tukipewa hiyo nafasi basi ningependekeza majina mawili
Mwanakijiji na pasco,
Ni maoni yangu tu, ila kama pasco akiwa anaumwa The big Show na ng'wamapalala watafaa kuchukua nafasi yake
hahaaa! kituko.napendekeza Yericko Nyerére/Ben saanane na mchambuzi/Mwanakijiji /Bacelona
Hizo bahasha za khaki kila mtu anazipenda hebu jifikirie kwanza halafu urudi hapa kenge wee!