Mwaliko wa Harry kwenda kwa familia ya William wapotezewa

Mwaliko wa Harry kwenda kwa familia ya William wapotezewa

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Harry alimwalika William na mkewe pamoja na watoto wake katika tafrija ya siku ya kuzaliwa kwa mtoto Lili lakini William na familia yake hawakutokea kabisa. Inaelekea bado kuna mvutani kwenye hiyo familia ya kifalme.

Harry na mkewe ilibidi warudi US siku ya Jumapili baada ya kuhudhuria sherehe ya Malkia nako waliwekwa kwenye sehemu ya watu wenye status ya pili siyo kama ilivyokuwa zamani alipokuwa anakaa pembeni ya kaka yake.

Huyu kijana siku Meghan akimwacha atahitaji maombk ya Ngwajima ili asije jimurder

964142_5379731_fdfd_updates.jpg
 
Bibi umri umeshaenda sana; hadi anaonekana kama anawachonganisha wajukuu. Mimi naona kama tatizo kubwa liko kwa bibi na si kwa wajukuu zake.

Huyu bibi alitakiwa kuishi na mtu kama mimi nsiyejali vitu hivi vidogo vidogo ambavyo havinipunguzii chochote kwenye hewa ambayo huwa nayopumua
 
Ningekuwa mimi ndio harry nisngekuwa naenda huko uingereza

Nibgejikita kwenye biashara kwa hasira zote hadi nifikie levo ya kuwa bilionea na maana jamaa ana connection na mtaii anao sana

Why kujifaragua kwa wasiokupenda

Ningekomaa na familia yangu mwenyewe niliyoitengeneza

Ningehakikisha nakuwa na hela ndefu na umaarufu wangu haushuki mbona wangemtafuta wenyewe
 
Ningekuwa mimi ndio harry nisngekuwa naenda huko uingereza

Nibgejikita kwenye biashara kwa hasira zote hadi nifikie levo ya kuwa bilionea na maana jamaa ana connection na mtaii anao sana

Why kujifaragua kwa wasiokupenda

Ningekomaa na familia yangu mwenyewe niliyoitengeneza

Ningehakikisha nakuwa na hela ndefu na umaarufu wangu haushuki mbona wangemtafuta wenyewe

Tatizo ni Meghan maana ndio anaemungoza Harry nini cha kufanya Yaani dogo anaburuzwa sana

Na kurudi [emoji636] ni heshima tu kwani hajakanyaga takriban miaka 2
Inawezekana kaombwa na Bibi yake ahudhurie au baba yake

Ila angalia kabla ya sherehe kuisha wakaondoka na kurudi [emoji631]
Hapo utajua nani boss
IMG_6893.jpg
 
Bibi umri umeshaenda sana; hadi anaonekana kama anawachonganisha wajukuu. Mimi naona kama tatizo kubwa liko kwa bibi na si kwa wajukuu zake.

Huyu bibi alitakiwa kuishi na mtu kama mimi nsiyejali vitu hivi vidogo vidogo ambavyo havinipunguzii chochote kwenye hewa ambayo huwa nayopumua

Bibi ana roho mbaya sana Ndio maana hata watoto wake aliowazaa ndoa zao ziliharibika
Anaingilia sana maisha yao especially wakiwa mezani wanakula pamoja
Haya ni maneno ya watu waliofanya kazi Buckingham palace na pia waliokuwa karibu na kina Diana na Sarah Ferguson
Hao ndugu wanne Charles,Anna, Edward na Andrew angalia maisha yao

Queen Mother ndio alikuwa mzuri sana kwa tabia na msikivu sana na yeye ndio alikuwa anawaweka pamoja ila mwanae Malkia ndio vurugu
 
Tatizo ni Meghan maana ndio anaemungoza Harry nini cha kufanya Yaani dogo anaburuzwa sana

Na kurudi [emoji636] ni heshima tu kwani hajakanyaga takriban miaka 2
Inawezekana kaombwa na Bibi yake ahudhurie au baba yake

Ila angalia kabla ya sherehe kuisha wakaondoka na kurudi [emoji631]
Hapo utajua nani boss
View attachment 2253443
Expert waongo waongo tu hawampendi Meghan. Ukiangalia wanavyosema eti sijui wamewekwa sehemu wanayostahili kwenye maadhimisho kwa kuwekwa mstari wa pili.
Hawampendi tu Meghan hawana lolote
 
Eti kuna madai kutoka vyombo vya UK eti Harry na Meghan walilipa watu ili wapewe shangwe wakati wako huko. Yank wanaandamwa sijui walitaka wazomewe wapate furaha.

Wanafiki wakubwa hao
Ila wazungu wanafiki sana especially waingereza wana majungu sana yaani kwa Gossip wanaongoza

Magazeti yao ukisoma
Huwa sina hamu
Kuna moja linaitwa The Sun miaka ya nyuma kila siku nilikuwa nanunua kusoma maisha yao na wanavyochunguzana

Ila sasa silisomi tena
 
Wanafiki wakubwa hao
Ila wazungu wanafiki sana especially waingereza wana majungu sana yaani kwa Gossip wanaongoza

Magazeti yao ukisoma
Huwa sina hamu
Kuna moja linaitwa The Sun miaka ya nyuma kila siku nilikuwa nanunua kusoma maisha yao na wanavyochunguzana

Ila sasa silisomi tena
Juzi niliona comment za Waingereza wenyewe wanakandia vyombo vyao vya habari kuwa habari zake ni udaku na tetesi.
Wazungu kinawauma kaoa mwafrika sema ni vile hawawezi yasema hadharani ila I am sure huko nje wanasema.
 
Juzi niliona comment za Waingereza wenyewe wanakandia vyombo vyao vya habari kuwa habari zake ni udaku na tetesi.
Wazungu kinawauma kaoa mwafrika sema ni vile hawawezi yasema hadharani ila I am sure huko nje wanasema.

Waliyasema sana kwani huwa hawana la kuficha hawa
Na yalimfikia hata Malkia na siku Harry alienda kutaka ridhaa kwa Bibi yake

Malkia hakuliacha lipite chini ya carpet na wakiwa mbele ya camera walitembea kwenye corridors za Buckingham Palace akamwambia huyu ni Bibi yangu Queen Charlotte ni mweusi means na Sisi tuna damu ya weusi (maneno ya Queen )

Alikuwa anaweka wazi kuwa kama umempenda natoa ridhaa yangu kaoe

Queen alikuwa anampenda sana Harry kwa utani wake

Ila waandishi wa habari wanamuandama sana na kifo cha mama yake kimemuathiri sana hasa alipokuwa anatembea nyuma ya casket
 
Hakuna kitu inawauma waingereza kama hiyo,
Hapo Maana yake Prince George siku moja akiwa mfalme,atakuwa na cousins wenye asili nyeusi,
Kwani hata Diana alichotaka kufanya kwa william,half brothers au sisters wangekuwa waarabu,wakamuondolea mbali..
Alafu Mambo mengine huwa hayafanywi na hao direct,ni member wa crown,wanalinda ile asili yao kuliko mboni ya jicho..
Na hivi william ana watoto kibao sasa hata line succession ya harry haipo tena,ndio maana wanamchukulia poa tu,
Nina uhakika mwisho wa harry hautokuwa mzuri,madada wa kimarekani ni wehu,
Toka hapo huyo meghan n kama hamtambui baba yake kumzaa,analialia tu kila siku kwenye media
 
Back
Top Bottom