Mwaliko wa Harry kwenda kwa familia ya William wapotezewa

Mwaliko wa Harry kwenda kwa familia ya William wapotezewa

Waliyasema sana kwani huwa hawana la kuficha hawa
Na yalimfikia hata Malkia na siku Harry alienda kutaka ridhaa kwa Bibi yake

Malkia hakuliacha lipite chini ya carpet na wakiwa mbele ya camera walitembea kwenye corridors za Buckingham Palace akamwambia huyu ni Bibi yangu Queen Charlotte ni mweusi means na Sisi tuna damu ya weusi (maneno ya Queen )

Alikuwa anaweka wazi kuwa kama umempenda natoa ridhaa yangu kaoe

Queen alikuwa anampenda sana Harry kwa utani wake

Ila waandishi wa habari wanamuandama sana na kifo cha mama yake kimemuathiri sana hasa alipokuwa anatembea nyuma ya casket
Wazungu hovyo sana. Sasa weusi kwao ni nini?
 
Waliyasema sana kwani huwa hawana la kuficha hawa
Na yalimfikia hata Malkia na siku Harry alienda kutaka ridhaa kwa Bibi yake

Malkia hakuliacha lipite chini ya carpet na wakiwa mbele ya camera walitembea kwenye corridors za Buckingham Palace akamwambia huyu ni Bibi yangu Queen Charlotte ni mweusi means na Sisi tuna damu ya weusi (maneno ya Queen )

Alikuwa anaweka wazi kuwa kama umempenda natoa ridhaa yangu kaoe

Queen alikuwa anampenda sana Harry kwa utani wake

Ila waandishi wa habari wanamuandama sana na kifo cha mama yake kimemuathiri sana hasa alipokuwa anatembea nyuma ya casket
Duh, kwakweli vyombo vya hanari vinawaandama kinoma aisee.
 
Hakuna kitu inawauma waingereza kama hiyo,
Hapo Maana yake Prince George siku moja akiwa mfalme,atakuwa na cousins wenye asili nyeusi,
Kwani hata Diana alichotaka kufanya kwa william,half brothers au sisters wangekuwa waarabu,wakamuondolea mbali..
Alafu Mambo mengine huwa hayafanywi na hao direct,ni member wa crown,wanalinda ile asili yao kuliko mboni ya jicho..
Na hivi william ana watoto kibao sasa hata line succession ya harry haipo tena,ndio maana wanamchukulia poa tu,
Nina uhakika mwisho wa harry hautokuwa mzuri,madada wa kimarekani ni wehu,
Toka hapo huyo meghan n kama hamtambui baba yake kumzaa,analialia tu kila siku kwenye media
Kuhusu meghan na babake utakuwa unamuonea tu

Baba yake ni kama alimtelekeza tangu akiwa mdogo wala hakuchua nafasi kubwa kwenye maisha mwanae na yule dadake meghan mzungu.

Unapoanza ku hustle na kuwa maarufu zaidi ndio wanatokea some people wakidai eti uliwatelekeza na kuwachunia wakati hawakuwepo kwenye maisha when you were nobody.

Meghan unamuona

Alichofanya ni kwenda na same ridhimu.
 
Harry tangu mapema tu alijua hapa hawezi kuwepo kwenye list ya Succession ya ufalme Wa Uingereza,ndio maana ameona aendelee kuishi maisha yake anayopenda kuishi

William tangu akiwa mdogo alikuwa anaandaliwa namna ya kuja kuwa mfalme,hata moja ya watoto wake kwasasa anaandaliwa kuja kuwa mfalme

Harry anaona kabisa Mimi sina changu katika ufalme huu
 
Tatizo ni Meghan maana ndio anaemungoza Harry nini cha kufanya Yaani dogo anaburuzwa sana

Na kurudi [emoji636] ni heshima tu kwani hajakanyaga takriban miaka 2
Inawezekana kaombwa na Bibi yake ahudhurie au baba yake

Ila angalia kabla ya sherehe kuisha wakaondoka na kurudi [emoji631]
Hapo utajua nani boss
View attachment 2253443
Namhurumia Harry Kama akiachwa na Meghan...atakuwa mgeni wa nani?
Na wamarekani hawajuagi uvumilivu ukizingua kidogo tu talaka inakuhusu..
 
Tatizo ni Meghan maana ndio anaemungoza Harry nini cha kufanya Yaani dogo anaburuzwa sana

Na kurudi [emoji636] ni heshima tu kwani hajakanyaga takriban miaka 2
Inawezekana kaombwa na Bibi yake ahudhurie au baba yake

Ila angalia kabla ya sherehe kuisha wakaondoka na kurudi [emoji631]
Hapo utajua nani boss
View attachment 2253443
Hiyo Ni media ya UK ndo zilivyo wanamburuza mrembo wa watu. Hawataki kukubali kuwa mtu wa koo ya kifalme kutoka humo na kwenda kubeba goma sehemu nyingine hasa kwa Blacks ndo inawauma zaidi. Nakwambia huyo dada angekuwa anatokea kwenye mabarafu huko iceland wala usingesikia haya kuwa anamcontroll harry. Media za uk zilikuwa zinampenda sana harry sababu waliona anabeba vitabia vya mama yake diana so walikuwa na mategemeo abebe chombo cha kwao na sio niga from somewhere....sasa wakasahau tabia za diana pia zilikuwa kutojali mambo ya ufalme aka status ndo maana akasepa na dodi....na kuona aibu family ikafanye yake maana ingekuwa noma watoto wa kingdom wawe na ndugu kwa kina MUDI.....ndio ikaitwa ajali.
 
Hakuna kitu inawauma waingereza kama hiyo,
Hapo Maana yake Prince George siku moja akiwa mfalme,atakuwa na cousins wenye asili nyeusi,
Kwani hata Diana alichotaka kufanya kwa william,half brothers au sisters wangekuwa waarabu,wakamuondolea mbali..
Alafu Mambo mengine huwa hayafanywi na hao direct,ni member wa crown,wanalinda ile asili yao kuliko mboni ya jicho..
Na hivi william ana watoto kibao sasa hata line succession ya harry haipo tena,ndio maana wanamchukulia poa tu,
Nina uhakika mwisho wa harry hautokuwa mzuri,madada wa kimarekani ni wehu,
Toka hapo huyo meghan n kama hamtambui baba yake kumzaa,analialia tu kila siku kwenye media
Meghan inabidi amheshimu Sana Harry...maana mwenzie amekubali kuasi ufalme kwaajili yake
 
Hiyo Ni media ya UK ndo zilivyo wanamburuza mrembo wa watu. Hawataki kukubali kuwa mtu wa koo ya kifalme kutoka humo na kwenda kubeba goma sehemu nyingine hasa kwa Blacks ndo inawauma zaidi. Nakwambia huyo dada angekuwa anatokea kwenye mabarafu huko iceland wala usingesikia haya kuwa anamcontroll harry. Media za uk zilikuwa zinampenda sana harry sababu waliona anabeba vitabia vya mama yake diana so walikuwa na mategemeo abebe chombo cha kwao na sio niga from somewhere....sasa wakasahau tabia za diana pia zilikuwa kutojali mambo ya ufalme aka status ndo maana akasepa na dodi....na kuona aibu family ikafanye yake maana ingekuwa noma watoto wa kingdom wawe na ndugu kwa kina MUDI.....ndio ikaitwa ajali.

Ubaguzi ni mwingi sana dunia hii
Di alitembea na Major Hewitt aliekuwa anamfundisha kupanda farasi
Akatembea na Dr yule mpakistani Hasnat Khan
Akaja kutembea na millionaire la Kimarekani la machinbo ya mafuta
Ndio akaja kumpata Dodi Al Fayed

Di alipoona anaandamwa kila kona ndio akaamua kusema ya moyoni kuwa hivi karibuni atatangaza kitu ambacho dunia nzima watashangaa

Dunia hii ina ubaguzi sana hata maandishi na matamko tu yanaonyesha racism haitaisha duniani
 
Namhurumia Harry Kama akiachwa na Meghan...atakuwa mgeni wa nani?
Na wamarekani hawajuagi uvumilivu ukizingua kidogo tu talaka inakuhusu..

Kutakuwa hakuna jinsi atarudi nyumbani tu na maadam baba yupo ndio egemeo lake
Bado ana ndugu pia
Amepitia mengi sana akiwa mdogo
Paparazzi kutwa na baadae kuvuliwa vyeo vyake daaaa

Atapambana naamini hivyo
 
Meghan inabidi amheshimu Sana Harry...maana mwenzie amekubali kuasi ufalme kwaajili yake
Hata asipomheshimu ni sawa tu coz hata Meghan akisema anaomba talaka kutoka kwa Harry.....atapewa talaka take na Harry atatafuta Black American mwingine ataoa

Harry succession ya ufalme haipo upande wake na ndio maana anaishi maisha yake binafsi

First successor-Prince Charles
Second successor-Prince William
Third successor-Prince George
 
Hata asipomheshimu ni sawa tu coz hata Meghan akisema anaomba talaka kutoka kwa Harry.....atapewa talaka take na Harry atatafuta Black American mwingine ataoa

Harry succession ya ufalme haipo upande wake na ndio maana anaishi maisha yake binafsi

First successor-Prince Charles
Second successor-Prince William
Third successor-Prince George
Nilimaanisha Ameasi Kuishi Kama mwanafamilia ya kifalme coz Sasa hivi huko US anaishi Kama raia wakawaida sio mwanamfalme
 
Nilimaanisha Ameasi Kuishi Kama mwanafamilia ya kifalme coz Sasa hivi huko US anaishi Kama raia wakawaida sio mwanamfalme
Ndio anachokipenda yeye na hii hutokea zaidi hasa wanafamilia wawili wa kiume Wa kifalme........mmoja anaamua kujiweka behind na mambo ya kifalme ili kupunguza ile hate miongoni kwao coz mwenye nafasi anaona kabisa huyu jamaa kama anatamani nafasi yangu

Kama ilivyotokea kwa Baba yake mkubwa na Queen Elizabeth II.......alipoamua kuasi ufalme na kuvuliwa urithi na kuvikwa Baba yake mzazi
 
Bibi ana roho mbaya sana Ndio maana hata watoto wake aliowazaa ndoa zao ziliharibika
Anaingilia sana maisha yao especially wakiwa mezani wanakula pamoja
Haya ni maneno ya watu waliofanya kazi Buckingham palace na pia waliokuwa karibu na kina Diana na Sarah Ferguson
Hao ndugu wanne Charles,Anna, Edward na Andrew angalia maisha yao

Queen Mother ndio alikuwa mzuri sana kwa tabia na msikivu sana na yeye ndio alikuwa anawaweka pamoja ila mwanae Malkia ndio vurugu
At her place, kama ningekuwa mimi, kiti hicho tayari ningekuwa nimeshamwachia Prince Charles tangu mwaka 2000; more tha 20 years ago!
 
At her place, kama ningekuwa mimi, kiti hicho tayari ningekuwa nimeshamwachia Prince Charles tangu mwaka 2000; more tha 20 years ago!

Huko kutembea na kutoka ndio kumemfanya asiwe na arthritis la sivyo kangelala zamani

Kumbuka watu wanapenda vyeo balaa
Hata wa kwetu alijua watammaliza ila bado aliendelea tu kiubishi ubishi
Sorry nimechomekea kama yeye alivyokuwa anasema
 
Kuhusu meghan na babake utakuwa unamuonea tu

Baba yake ni kama alimtelekeza tangu akiwa mdogo wala hakuchua nafasi kubwa kwenye maisha mwanae na yule dadake meghan mzungu.

Unapoanza ku hustle na kuwa maarufu zaidi ndio wanatokea some people wakidai eti uliwatelekeza na kuwachunia wakati hawakuwepo kwenye maisha when you were nobody.

Meghan unamuona

Alichofanya ni kwenda na same ridhimu.
Kwa hiyo ndo kusema kajisomesha tangu akiwa mdogo, hana ndugu wala rafiki?
 
Back
Top Bottom