witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hivi hii kitu ya mimba ni serious hivoo?Imasemekana alikuwa na mimba ya Dodi Ndio maana wakamuuwa
Alikuwa tayari kuiambia dunia kwa hasira
Waandishi walipowashutumu sana kwa mauwaji
Queen alitoka hadharani na kutoa karipia kubwa mpaka tukashangaa
Queen alitoa karipio gani mkuu?