wenzetu wanaangalia furaha yao.sio pesa au cheo ,mwacheni kijana aangalie sehem inayompa mapenzialiemwambie aoe nuksi Nan kisilani Cha kusalimiwa na kilungu malkia na Mwl bado wanacho
Ningekuwa mimi ndio harry nisngekuwa naenda huko uingereza
Nibgejikita kwenye biashara kwa hasira zote hadi nifikie levo ya kuwa bilionea na maana jamaa ana connection na mtaii anao sana
Why kujifaragua kwa wasiokupenda
Ningekomaa na familia yangu mwenyewe niliyoitengeneza
Ningehakikisha nakuwa na hela ndefu na umaarufu wangu haushuki mbona wangemtafuta wenyewe
Bibi umri umeshaenda sana; hadi anaonekana kama anawachonganisha wajukuu. Mimi naona kama tatizo kubwa liko kwa bibi na si kwa wajukuu zake.
Huyu bibi alitakiwa kuishi na mtu kama mimi nsiyejali vitu hivi vidogo vidogo ambavyo havinipunguzii chochote kwenye hewa ambayo huwa nayopumua
Expert waongo waongo tu hawampendi Meghan. Ukiangalia wanavyosema eti sijui wamewekwa sehemu wanayostahili kwenye maadhimisho kwa kuwekwa mstari wa pili.Tatizo ni Meghan maana ndio anaemungoza Harry nini cha kufanya Yaani dogo anaburuzwa sana
Na kurudi [emoji636] ni heshima tu kwani hajakanyaga takriban miaka 2
Inawezekana kaombwa na Bibi yake ahudhurie au baba yake
Ila angalia kabla ya sherehe kuisha wakaondoka na kurudi [emoji631]
Hapo utajua nani boss
View attachment 2253443
Expert waongo waongo tu hawampendi Meghan. Ukiangalia wanavyosema eti sijui wamewekwa sehemu wanayostahili kwenye maadhimisho kwa kuwekwa mstari wa pili.
Hawampendi tu Meghan hawana lolote
Ama kweli uzuri ni neno pana...AmberKwa kweli urembo ni definition pana mimi naona havutii, wakimweke yeye na Amber Heard, ntambeba Amber. Labda angekuwa yule bidada wa Columbiana
Eti kuna madai kutoka vyombo vya UK eti Harry na Meghan walilipa watu ili wapewe shangwe wakati wako huko. Yank wanaandamwa sijui walitaka wazomewe wapate furaha.
Juzi niliona comment za Waingereza wenyewe wanakandia vyombo vyao vya habari kuwa habari zake ni udaku na tetesi.Wanafiki wakubwa hao
Ila wazungu wanafiki sana especially waingereza wana majungu sana yaani kwa Gossip wanaongoza
Magazeti yao ukisoma
Huwa sina hamu
Kuna moja linaitwa The Sun miaka ya nyuma kila siku nilikuwa nanunua kusoma maisha yao na wanavyochunguzana
Ila sasa silisomi tena
Juzi niliona comment za Waingereza wenyewe wanakandia vyombo vyao vya habari kuwa habari zake ni udaku na tetesi.
Wazungu kinawauma kaoa mwafrika sema ni vile hawawezi yasema hadharani ila I am sure huko nje wanasema.