Mwaliko wa Vatican: Je, Mama kumsujudia Papa kwa kuibusu pete yake?

Mwaliko wa Vatican: Je, Mama kumsujudia Papa kwa kuibusu pete yake?

Unaakili za kipunga sana

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Hujui ulisemalo hivi kati na wewe na jamaa unadhani nani ameongea ukweli ni huyo jamaa ila ww kwakua uko gizani vitu vingi umefumbwa hata hujui kama marais wote hasa africa ni wadogo kuliko pape??
 
Papa ndiye kiongozi wa dini aliyekaribu na Mungu
Acha uongo kama yuko karibu na Mungu labda mungu wenu wa wazungu na warabu lakini sio Mungu Muumbaji wa vyote nakataa mpka nakufa na ushahidi ninao.
 
duh! Kule wanaenda wakuu wote wa mataifa ya dunia, ukijitia mjanja huendi, utaenda kwa magoti. Ile ni dola kuu ya urumi duniani bado ina nguvu zake hakuna mtawala wa dunia hii anayefua dafu mbele yake
Wewe unaakili sana
 
When in Rome, do as the Romans does!. Mama Samia will bow down, wanaoibusu pete ya Pontiff ni viongozi Wakatoliki pekee!..
Vatican haijihusishi kabisa na siasa za nchi yoyote, ule waraka wa TEC, mwisho wake ni Kurasini!.
P
Hujui unachoongea siku ukijua utajua.
 
Ndugu kama umeandika haya pasi na kujua basi Mungu akurehemu,Lakini kama unafanya kwa Makusudi unaonyokubwa juu yako.Papa kavalishwa hicho cheo kinyume kabisa na neno la Mungu Tena cheo hicho kimeshiba damu za watu wengi sana........
Nafurahi kuona kuna vichwa humu viko na siri nyingi za dunia.
 
Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican,

Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama,Je atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu kristo!? Je ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana!? Je atakwenda kuutetea vipi mkataba wa Dp World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika!?

Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania,watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.
Mosi,. Samia sio kiongozi wa kwanza Muislamu kuzuru Vatican tafiti wengine walifanyaje.
Pili Acha dhana potofu kuwa hakuna uamuzi nchi hii utakopita bila 'baraka' za Charles Kitima.
 
Ndiyo Mungu wa Dunia hii ..Siku Mimi nikiwa kiongozi nitavunja hizo protocol tuone atanifanya nini
Hayo ni maneno tu mkuu usiyachukulie serious kiasi hiki.

Siyo Pope tu raisi wa nchi yoyote anayejitambua akialikwa au akiona ana la kwenda kuzungumza na kiongozi fulani ataenda hope ndicho anachokifanya huyu mama nothing else.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ndugu kama umeandika haya pasi na kujua basi Mungu akurehemu,Lakini kama unafanya kwa Makusudi unaonyokubwa juu yako.Papa kavalishwa hicho cheo kinyume kabisa na neno la Mungu Tena cheo hicho kimeshiba damu za watu wengi sana........
Na wewe umefanya kusudi kuandika mikono ya Papa imeshiba DAMU wakati ushahidi huna.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jesuits wanatafakari kwa makini, hao ndio Vatican yenyewe.
ndio maana unajiita kibobori? unafanya tafsiri sisisi kuwa jesuit ni majasusi. kitu ambacho sio sahihi fuatilia soma uliza utajiona upo uchi kimaarifa. Jesuits ni shirika kama yalivyo mashirika mengine ya kitume mathalani White Fathers, Holy ghost fathers, Kapuchin, Benedictin etc etc.
The Society of Jesus, commonly known as the Jesuits, is a religious order within the Catholic Church founded by St. Ignatius of Loyola in 1540. The Jesuits are known for their commitment to education, missionary work, and social justice. They follow the teachings of Ignatius of Loyola, whose Spiritual Exercises serve as a cornerstone of their spirituality. The Jesuits have played a significant role in the history of education, establishing numerous schools, colleges, and universities around the world. They are also known for their missionary efforts, spreading Catholicism to various regions globally, particularly during the period of European colonial expansion. Additionally, the Jesuits have been active in advocating for social justice and human rights, engaging in works of service and solidarity with marginalized communities. Today, the Society of Jesus continues its mission through its educational institutions, social ministries, and spiritual guidance
 
Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume, halipo hivi. Kazi ya Kanisa kuhusu DP World ilishaisha
 
Dolphin, it seems you are a religious person. In case of faith I don't like to argue. Let me put effort in studying about Karl Marx, I like the way he defined "religion ".
 
Mwaliko uliombwa na Hayati Rais John Magufuli ulikubaliwa mwaka 2019 wakati wa COVID 19 ikashindikana Papa kuja Tanzania wala Rais Magufuli kwenda Vatican,

Nani aende Vatican baada ya kuondoka kwa Rais Magufuli!? jibu ni Mama. Je atakwenda kujifunza injili ya Bwana wetu Yesu kristo!? Je ataibusu Pete ya Papa pale watakapokutana!? Je atakwenda kuutetea vipi mkataba wa DP World ambao umeingiwa na hauwezi kuvunjika!?

Kwa doctrine ya TEC na majasusi wa Kanisa, Vatican ina majibu yote juu ya Tanzania, watataka kusikia majibu ya Mama na wao kufanya maamuzi yao! Diplomasia ipo kwenye Kipimo.
New world order crooks of Vatican, Mama, hayupo salama, I wish tungekuwa na, majasusi wabobezi kama Brigadier Hashim Mbita, pale TISS, wakamsindikiza Mama, tatizo pale makumbusho, pamejaa mabishoo tu, wanajua kunywa bia, kununua IST, na kukimbiza magari na vingora!
Wale vijana wana akili ndogo Sana, wakimpeleka boss wao nyumbani jioni,kwa, speed na vingora wakikwepa foreni za, dar, wanaona wame accomplish jambo LA maaana Sana.
 
Back
Top Bottom