Mwalimu adaiwa kumpa mimba mtoto wa mwalimu mwenzake

Mwalimu adaiwa kumpa mimba mtoto wa mwalimu mwenzake

Mkuu nimekwelewa hata kwa lugha yetu iko hivyo hata mi mwanzo nilikuwa napata wakati mgumu kutamka mbele ya watu ila ni kijiji kiko same huko
 
Wale watani zangu. Ninapajua sana hapo. Nina dogo amesoma Parane Secondari, Mamba Myamba. Pares are very beautiful!
Sawa mkuu mi nilifika huko kuna rafiki yangu ndio nyumbani kwako tulikuwa tunakaa hadi mwezi hapo
 
Watoto wa kike warudi shuleni wakishajifungua hii ni kwa faida ya mwanafunzi, mzazi na taifa kwa ujumla hakuna sababu ya maana yakuzuia watoto wasisome endao wamejifungua
 
Mwalimu amekula raw
raw imemhamisha makazi sasa hivi anajua akitiwa hatiani ni moja kwa moja korokoroni.
Mzazi ameongea kwa uchungu sana lakini sasa afanye nini!!
 
Azae afu aendelee na shule. Sio dhambi bana.ingawa nimetanguliza wa kike hapa basi tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom