abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Hajakataa kuchapwa, kachapwa mkononi ana kibali cha kutochapwa makalioni. Mwili ni wake kwanini umpangie sehemu ya kumuadhibu?Safi sana kwa mwalimu wenzake wote wamechapwa yeye anajifanya mwamba
Waaalimu hawa watatuulia watoto aiseeMwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.
Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.
Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.
Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.
Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Yani mwanafunzi ametoa maelezo kuwa hachapwi makalioni wewe ukajifanya nunda ukampiga ngumi??Safi sana tunataka walimu kama hao....
Ningekua ndo mimi mwalimu ningeondoa meno yote hayo dadek
Hawa walimu wanaleta stress zao katika kazi.Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.
Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.
Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.
Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.
Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Kisa kutokupongezwa ndio iwe sababu ya kufumbia ukatili wa watoto!?Huyo mwalimu alipo fundisha wanafunzi wakapata A na kufahulu vizuri, uliwahi kuja kupost huku kumpongeza?
Kwa hiyo wewe tukupongeze kwa kuwa hujaiba ama kubaka? Unapofanya kitu sahihi tulia umetimiza wajibu. Siku ukibaka ama kuiba tutakuandika humu. Mwl alipofaulisha alitimiza wajibu wake hana haja ya kudai pongezi. Akikengeuka kama hivi lazima aanikweHuyo mwalimu alipo fundisha wanafunzi wakapata A na kufahulu vizuri, uliwahi kuja kupost huku kumpongeza?
Ungekosea hawa watoto wa siku hizi ukisema walimu wawache wafanye wanayotaka kama mlivyowaacha hatuna kizazi kabisa. Nchi itaharibika. Chukulia mfano watoto wa shule za kata wengi wanatoka uswahilini ambako walishashindikana maana hata wazazi wenyewe walishanyenyua mikono. Wakitoka hapo watakuja kuwa panya road. Pongezi nyingi kwa walimu wanafanya kazi iliyotukukaHuyo mwalimu mi ningedeal nae kimtaamtaa kama mzazi tena baada ya siku nyingi tukio kutokea. akiwa kajisahau kabisa. Nae jino ama meno mawili lazima yamtoke
Wewe ndiye mwanafunziMwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.
Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.
Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.
Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.
Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Adhabu kupewa ni sawa kabisa. Ila isiwe adhabu ya kinyama kama kumvunja meno ama kiungo chochote cha mwiliUngekosea hawa watoto wa siku hizi ukisema walimu wawache wafanye wanayotaka kama mlivyowaacha hatuna kizazi kabisa. Nchi itaharibika. Chukulia mfano watoto wa shule za kata wengi wanatoka uswahilini ambako walishashindikana maana hata wazazi wenyewe walishanyenyua mikono. Wakitoka hapo watakuja kuwa panya road. Pongezi nyingi kwa walimu wanafanya kazi iliyotukuka
Huyo ni mzazi wa huyo mwanafunzi mtukutuUmbeya na wewe ni mwalimu wa hiyo shuleni unachuki na mwalimu. mwenzako