Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati

Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati

sasa sii bora huyo kapata 29 mie nakumbuka mtihani wa mathematics form one nilipata 14/100
 
Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.

Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.

Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.

Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.

Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Waaalimu hawa watatuulia watoto aisee

Waongezwe mishahara buana
 
Safi sana tunataka walimu kama hao....
Ningekua ndo mimi mwalimu ningeondoa meno yote hayo dadek
Yani mwanafunzi ametoa maelezo kuwa hachapwi makalioni wewe ukajifanya nunda ukampiga ngumi??
Labda asiwe mwanangu lakini kama akiwa mwanangu hiko kiganja chako kitaning'inia kikivuja damu.
 
Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.

Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.

Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.

Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.

Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Hawa walimu wanaleta stress zao katika kazi.
Bahati nzuri sijapata mtoto mkubwa na akafanyiwa hivyo.
Ila kama huyo angekua mtoto wangu aisee na ninavyowachukia walimu wa shule za serikali huyo mwalimu angejuta kuzaliwa.
 
Huyo mwalimu alipo fundisha wanafunzi wakapata A na kufahulu vizuri, uliwahi kuja kupost huku kumpongeza?
Kisa kutokupongezwa ndio iwe sababu ya kufumbia ukatili wa watoto!?
Hivi ni sahihi kumpiga ngumi mwanafunzi!??
 
Huyo mwalimu alipo fundisha wanafunzi wakapata A na kufahulu vizuri, uliwahi kuja kupost huku kumpongeza?
Kwa hiyo wewe tukupongeze kwa kuwa hujaiba ama kubaka? Unapofanya kitu sahihi tulia umetimiza wajibu. Siku ukibaka ama kuiba tutakuandika humu. Mwl alipofaulisha alitimiza wajibu wake hana haja ya kudai pongezi. Akikengeuka kama hivi lazima aanikwe
 
Huyo mwalimu mi ningedeal nae kimtaamtaa kama mzazi tena baada ya siku nyingi tukio kutokea. akiwa kajisahau kabisa. Nae jino ama meno mawili lazima yamtoke
Ungekosea hawa watoto wa siku hizi ukisema walimu wawache wafanye wanayotaka kama mlivyowaacha hatuna kizazi kabisa. Nchi itaharibika. Chukulia mfano watoto wa shule za kata wengi wanatoka uswahilini ambako walishashindikana maana hata wazazi wenyewe walishanyenyua mikono. Wakitoka hapo watakuja kuwa panya road. Pongezi nyingi kwa walimu wanafanya kazi iliyotukuka
 
Huenda
Mwalimu wa Secondary ya BUNDIKANI iliyopo Kibaha Maili Moja Jana Alhamisi July 25, 2024 amempiga ngumi na kumtoa jino bila ganzi mwanafunzi wa kidato cha 3A.

Wanafunzi wote waliopata chini ya alama 30 za somo analofundisha la Hisabati alipanga kuwachapa, mwanafunzi hakikataa kuchapwa na alipokuwa anamchapa mkononi mwanafunzi alitulia bila kuugulia maumivu kitendo ambaco mwalimu aliona ni dharau na kutaka kumchapa makalioni. Mwanafunzi akasema huwa hachapwi makalioni na hata Mwalimu Mkuu na Mwalimu wa malezi wa darasa lao kidato cha 3A wote wanafahamu kibali hicho cha kutochapwa makalioni.

Mwalimu akaanza kumchapa kichwani kitendo kilichomfanya mwanafunzi akimbilie nje ya darasa kujiepusha na adhabu za kiholela. Mwalimu akawahi kufungua milango ndani ndipo alipomtandika ngumi kama mwizi na kumtoa jino Moja na lingine limelegea sana litatoka muda wowote.

Jambo hilo limeshuhudiwa na wanafunzi wote darasani hivyo ushahidi upo.

Je hii ni halali? Mwanafunzi amefuata ELIMU lakini anakutana na ulemavu wa kudumu. Wanahabari wa Mkoa wa Pwani liangazieni swala hilo tena ofisi zenu (Press Club) haizidi hata kilometers Moja kutoka shule ya BUNDIKANI.
Wewe ndiye mwanafunzi
 
Ungekosea hawa watoto wa siku hizi ukisema walimu wawache wafanye wanayotaka kama mlivyowaacha hatuna kizazi kabisa. Nchi itaharibika. Chukulia mfano watoto wa shule za kata wengi wanatoka uswahilini ambako walishashindikana maana hata wazazi wenyewe walishanyenyua mikono. Wakitoka hapo watakuja kuwa panya road. Pongezi nyingi kwa walimu wanafanya kazi iliyotukuka
Adhabu kupewa ni sawa kabisa. Ila isiwe adhabu ya kinyama kama kumvunja meno ama kiungo chochote cha mwili
 
Back
Top Bottom