Mwalimu ajinyonga kisa kuachwa na Mpenzi, aagiza azikwe Siku ya Valentine na Mpenzi ndio asome Wosia wake

Mwalimu ajinyonga kisa kuachwa na Mpenzi, aagiza azikwe Siku ya Valentine na Mpenzi ndio asome Wosia wake

MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema.

Marehemu aliyetambulishwa na polisi kama Dennis Mwaniki Njeru, 32, almaarufu kama Mukono, alipatikana amelala kwenye kitanda chake na barua aliyoandika kando yake.

Kulingana na polisi, marehemu alikuwa anavuja povu kupitia pua lake huku kemikali inayoshukiwa kuwa dawa ya kuua wadudu ikipatikana humo vilevile.

“Ni mwalimu kutoka Mbeere Kaskazini lakini anafunza katika shule ya Sekondari iliyopo Kaunti ya Kirinyaga, alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake. Uchunguzi wa awali umeonyesha alijtoa uhai,” alisema.

Kwenye kijikaratasi hicho, mwendazake alisema alichukua uamuzi huo baada ya mpenziwe kumkataa.

“Naweza nikaonekana mjinga lakini nimefungua moyo wangu kuhusu kinachoniumiza kwa watu 17 lakini hakuna aliyezungumza nami, acha tukutane mbinguni. Nimemsihi mpenzi wangu lakini yote yameambulia patupu. Nawapenda nyote,” alisema kupitia barua hiyo.

Bw Njeru vilevile ameacha maagizo kuhusu jinsi anavyotaka kuzikwa.

Ameagiza afisa mkuu katika Bunge la Kaunti pamoja na diwani wa eneo hilo kuongoza mipango ya mazishi yake.

Aidha, alisema azikwe Sikukuu ya Wapendanao almaarufu kama Valentine ambapo mpenzi wake anapaswa kusoma wosia.
Yaani hiyo siku ya tarehe 14 February watu waache kuwa busy na mipango yao Jumatano ya Majivu japa duniani, eti wawe busy kufuata maagizo ya Mjinga fulani ambaye dunia imemshinda.

Halafu huyo "Mpenzi" wa kusoma huo Wosia ni yupi wakati alishaachwa na yeye akaweka sign kwa kujiua?
 
Ndugu zangu wanaume, ujue Wanawake wametuzidi akili...

Mimi nitaongea Kwa uzoefu wangu...

Hawa watu tunakutana nao tunawatongoza wakishatukubali wanaona Ili wasiachwe bas watulishe malimbwata Yao.

Vitu vinavyotengeza limbwata ni vitu vya kawaida, sukari, vitunguu, na unapokua karibu Naye atachukua athari zako na kuzifunga umpende peke yake, usimwache...

Sasa unampenda kupitiliza, huoni kama utaweza ishi bila Yeye.

Hakuna mapenzi ya kumpenda mtu Hadi kujiua nje ya ushawishi wa uchawi.

Nje ya uchawi Utaumia sawa ila utajidhibiti... Huwezi kujiua.

Ndugu zangu tuchukue tahadhari kutembea na Wanawake wengi ni hatari sana na hiyo itapelekea uchumi wako kufa Kwa maana hayo malimbwata hufunga nyota...
 
Hayo maneno katika barua yake kuna cha kujifunza. Mtu akikueleza shida yake mpe muda wa kumsikiliza, hata kama ni jambo lisilovutia kusikiliza.
Mwisho mpe moyo, hata kama unaona ni ujinga anaosema.
Last line [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
kwenye mapenzi ukitanguliza hisia harafu akili ikafuata basi matokeo yake ndio haya.
 
Hayo maneno katika barua yake kuna cha kujifunza. Mtu akikueleza shida yake mpe muda wa kumsikiliza, hata kama ni jambo lisilovutia kusikiliza.
Mwisho mpe moyo, hata kama unaona ni ujinga anaosema.
Naomba unisikilize
 
MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema.

Marehemu aliyetambulishwa na polisi kama Dennis Mwaniki Njeru, 32, almaarufu kama Mukono, alipatikana amelala kwenye kitanda chake na barua aliyoandika kando yake.

Kulingana na polisi, marehemu alikuwa anavuja povu kupitia pua lake huku kemikali inayoshukiwa kuwa dawa ya kuua wadudu ikipatikana humo vilevile.

“Ni mwalimu kutoka Mbeere Kaskazini lakini anafunza katika shule ya Sekondari iliyopo Kaunti ya Kirinyaga, alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake. Uchunguzi wa awali umeonyesha alijtoa uhai,” alisema.

Kwenye kijikaratasi hicho, mwendazake alisema alichukua uamuzi huo baada ya mpenziwe kumkataa.

“Naweza nikaonekana mjinga lakini nimefungua moyo wangu kuhusu kinachoniumiza kwa watu 17 lakini hakuna aliyezungumza nami, acha tukutane mbinguni. Nimemsihi mpenzi wangu lakini yote yameambulia patupu. Nawapenda nyote,” alisema kupitia barua hiyo.

Bw Njeru vilevile ameacha maagizo kuhusu jinsi anavyotaka kuzikwa.

Ameagiza afisa mkuu katika Bunge la Kaunti pamoja na diwani wa eneo hilo kuongoza mipango ya mazishi yake.

Aidha, alisema azikwe Sikukuu ya Wapendanao almaarufu kama Valentine ambapo mpenzi wake anapaswa kusoma wosia.
Hii dunia hii, acheni tu.

Yani wengine wanang'ang'aniwa mpaka wanatamani waachwe wapumue kidogo, wengine wanajiua kwa sababu ya kuachwa.

RIP.
 
MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema.

Marehemu aliyetambulishwa na polisi kama Dennis Mwaniki Njeru, 32, almaarufu kama Mukono, alipatikana amelala kwenye kitanda chake na barua aliyoandika kando yake.

Kulingana na polisi, marehemu alikuwa anavuja povu kupitia pua lake huku kemikali inayoshukiwa kuwa dawa ya kuua wadudu ikipatikana humo vilevile.

“Ni mwalimu kutoka Mbeere Kaskazini lakini anafunza katika shule ya Sekondari iliyopo Kaunti ya Kirinyaga, alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake. Uchunguzi wa awali umeonyesha alijtoa uhai,” alisema.

Kwenye kijikaratasi hicho, mwendazake alisema alichukua uamuzi huo baada ya mpenziwe kumkataa.

“Naweza nikaonekana mjinga lakini nimefungua moyo wangu kuhusu kinachoniumiza kwa watu 17 lakini hakuna aliyezungumza nami, acha tukutane mbinguni. Nimemsihi mpenzi wangu lakini yote yameambulia patupu. Nawapenda nyote,” alisema kupitia barua hiyo.

Bw Njeru vilevile ameacha maagizo kuhusu jinsi anavyotaka kuzikwa.

Ameagiza afisa mkuu katika Bunge la Kaunti pamoja na diwani wa eneo hilo kuongoza mipango ya mazishi yake.

Aidha, alisema azikwe Sikukuu ya Wapendanao almaarufu kama Valentine ambapo mpenzi wake anapaswa kusoma wosia.
kumbe bado dunia Ina mapopoma,elimu haijamsaidia chochotee kile ,afe tu
 
Sawa, ila tu yasiwe mambo ya mapenzi maana hakuna nafasi nimeshachukuliwa.😀
Kwa hiyo upo tayari nife!? Kwani marehemu si amekufa Kwa kutosikilizwa na mpango wa kando!?
 
hawa wanaume walilelewaje utotoni?
mbona wanadeka hivi?
uachwe ujiue? ameondoka na mbupu zako au?
mda mwingine bora upige nyeto ulale ukiamka akili zinawaza hela wenge la madem kinaisha.
hayo maagizo mwambie hatutekelezi, aje mwenyewe kuyafanya.
 
Na mpenzi wake waweza kuta NI Mwanafunzi ###Wazo###
 
kwenye mapenzi ukitanguliza hisia harafu akili ikafuata basi matokeo yake ndio haya.

Hasira mbele busara nyuma, zilimponza mr Mende kupinduka miguu juu kabla ya kufa... by Chuchu Sound 2001.
 
Huyo mwalimu nae amekoswa wanawake wengine ? [emoji51]
 
Back
Top Bottom