Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huyu ni mwalimu kutoka Zambia alikuwa anafundisha shule ya sekondari Nsajika day baadaye akahamishiwa Maguya.
Amesema amechoka licha ya kupambana sana alikuwa haoni mafanikio.
Kwenye pesa kiasi alizoacha ametoa maelekezo kwa mke wake ajenge nyumba, kiasi kingine aanzishe biashara kingine atumie na watoto.
Shujaa kaumaliza mwendo.
Amesema amechoka licha ya kupambana sana alikuwa haoni mafanikio.
Kwenye pesa kiasi alizoacha ametoa maelekezo kwa mke wake ajenge nyumba, kiasi kingine aanzishe biashara kingine atumie na watoto.
Shujaa kaumaliza mwendo.