TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

R.I.P... Huu uzi uliandikwa halafu Mods wakaufuta fasta, Nilifurahi nikidhani Haikua kweli, Imeniuma tena baada ya kurudi kwa uhakika zaidi.
 
Kinachouma zaidi ni TBC wameingia dili nono na TFF kutangaza mashindano yanayosimamiwa na TFF kwa bilioni za kutosha. Na ninaamini moja ya mtaji wao mkubwa ulikuwa ni sauti, vionjo na uchambuzi wa kipekee wa Mwl Kashasha kwamba anavutia wasikilizaji wengi.

Halafu sasa Mwl Kashasha anatuaga kabla hata project yenyewe haijaanza.

Kweli kifo ni siri kubwa mno.

R.I.P mwalimu mwenzangu Kashasha.
 
R.I.P babu


Marehemu alikiwa muongo muongo sana.
 
Nilijua ni mhindi mweeee akili zangu nazijua mwenyewe.

Kwaheri Mwalimu.
 
Inna LILLAH RAJIUN, mbele YETU NYUMA yake,apumzike KWA AMANI MWL Kashasha
 
Dah nimeumia sana. Mwl kashasha uchambuzi wake wa mwisho kuuskiliza ni siku ile tunawaoa mikia kwa mkapa na kuivuruga mpaka sasa. R.I.P great Kashasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…