Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Kama mwalimu akaghairi kwenda aliko pangiwa kazi upya...je uamisho utakuwa batili kwa mwalimu mwingine aliye ripoti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezaje kugoma kuripot kituo kipya ulichopangiwa other wise acha kaz.
Hakuna uhamisho batili hapo.
hakuna shida; kibondo Luna mel alibadilishana na mel WA tanga mwl WA Tanga alihamia kibondo Ila wa tanga aliambiwa uhamisho wake haukukamilika.Nzur zaid mwl wa tanga alihamia shule aliyokuwa mwl aliyekuwa akibadilishana naye wakat yeye hakuhama.