zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Alikua anamtoboa ×) To yeyeanafikiri kachelewa kisa alikuwa bizi na naniliu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua anamtoboa ×) To yeyeanafikiri kachelewa kisa alikuwa bizi na naniliu..
Ipo siku watakuweka na wewe uzito wa maana 😏😏Mkuu unapigwa na unashukuru kwamba yameisha na maisha yasonge.
Sema huyo mkuu wa shule kapiga kipumbaf, katengeneza kesi hiyo.
Mi kuna mtu aliwahi toroka kazi kwa muda wa miezi 6.
Aliposikia sijaunda board kwa ajili ya kumfuta akatumia mbinu ya Lipumba, akajirudisha mwenyewe.
Ile kumuona akanijaza ghadhabu, maana alinikuta naandaa bord na sikuwa na wasi wasi kama anaweza kufanya timing ya hivyo.
Nilipomuita kumhoji sababu zilizomfanya akahuni kazi, majibu yake eti wanamazingaombwe wenzake walimchezea akajishitukia anasahau kazi, akaniomba nimsamehe.
Nikamwambia achague option mbili tu, nimjazie fomu za kuachishwa kazi au nimlambe hamsa ushirini tuiue soo, nikampa dk10 anipe majibu.
Akanipa jibu kwamba nimpige ili yaishe.
Nikamwambia:'siyo nikutandike hapa nikute yamezagaa kwa staff nzima, sitaki, nikakata mkwaju, 'haya bwana lala, na ukishika kupoza tunafuta, tukawa tumeelewana hivyo.
Nikawa nimempima na ubavu wake kwanba hata ajae upepo hawezi kunifanya kitu, buruza mboko hadi kojo.
Na wengine staff wezi, ulipopatikana ushahidi wa kuwatia hatiani, nikawaita kubagain nini chaguo lao sahihi, jela au mboko ili yaishe.
Wakachagua mboko kwa madai kwamba 'zimwi likujualo...'.
Piga yangu sasa ni ike ya kuua mwizi ni kufuru.
Kenya hukoHii bongo tunapoelekea kila mtu atachanganyikiwa tu kwa muda wake.
Anajifanya haoni😎Mkuu tukio hili limetokea Kenya.
Wa kwanza kuchanganyikiwa ni wewe Mkuu, issue imetokea Kenya huko 😅Hii bongo tunapoelekea kila mtu atachanganyikiwa tu kwa muda wake.
Ni kweli mkuuWa kwanza kuchanganyikiwa ni wewe Mkuu, issue imetokea Kenya huko 😅
Sikuwa na upako wa ku-comment, imenilazimu.Mkuu unapigwa na unashukuru kwamba yameisha na maisha yasonge.
Sema huyo mkuu wa shule kapiga kipumbaf, katengeneza kesi hiyo.
Mi kuna mtu aliwahi toroka kazi kwa muda wa miezi 6.
Aliposikia sijaunda board kwa ajili ya kumfuta akatumia mbinu ya Lipumba, akajirudisha mwenyewe.
Ile kumuona akanijaza ghadhabu, maana alinikuta naandaa bord na sikuwa na wasi wasi kama anaweza kufanya timing ya hivyo.
Nilipomuita kumhoji sababu zilizomfanya akahuni kazi, majibu yake eti wanamazingaombwe wenzake walimchezea akajishitukia anasahau kazi, akaniomba nimsamehe.
Nikamwambia achague option mbili tu, nimjazie fomu za kuachishwa kazi au nimlambe hamsa ushirini tuiue soo, nikampa dk10 anipe majibu.
Akanipa jibu kwamba nimpige ili yaishe.
Nikamwambia:'siyo nikutandike hapa nikute yamezagaa kwa staff nzima, sitaki, nikakata mkwaju, 'haya bwana lala, na ukishika kupoza tunafuta', tukawa tumeelewana hivyo.
Nikawa nimempima na ubavu wake kwamba hata ajae upepo hawezi kunifanya kitu, buruza mboko hadi kojo.
Na wengine staff wezi, ulipopatikana ushahidi wa kuwatia hatiani, nikawaita kubagain nini chaguo lao sahihi, jela au mboko ili yaishe.
Wakachagua mboko kwa madai kwamba 'zimwi likujualo...'.
Piga yangu sasa ni ile ya kuua mwizi ni kufuru.
Nini maoni yako sasa!Sikuwa na upako wa ku-comment, imenilazimu.
Maoni yangu, jamaa anatupanga.Nini maoni yako sasa!
Bora hajapigana, angepoteza ugali wa wanae bureMwanaume mwenzio anakupiga vipi kizembe tena ndani ya darasa kisa cheo/kazi?
Mie ningerusha hata madawati