Mwalimu asimamishwa kazi kwa kumtukana Rais Samia

Mwalimu asimamishwa kazi kwa kumtukana Rais Samia

By Pascal Mwakyoma TZA

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.

Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.

Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kua ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.

Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
Hii kasi ya maamuzi na utekelezaji ingefanyika kwenye kutatua kero za wananchi ingekuwa poa sana
 
Silinde buana!
Hapo hakuna kosa,rais alisema akosolewe kwa staha.
 
Naibu waziri ana mamlaka gani ya kumsimamisha mtumishi kazi? Kwa sheria & kanuni ipi? Upuuuzi mtupu
 
Silinde buana!
Hapo hakuna kosa,raisi alisema akosolewe kwa staha.
 
Sasa wanaona kazi ya ualimu ni bonge la kazi mpaka wamfukuze Hugo mwalimu mwenye stress ya kutokuongezewa mshahara kwa miaka 6 ya yule sanamu
Mimi naona ajiunge Chaggadema, huko wanaajiri na kutoa mishahara ya milioni 30 kwa mwezi.
 
Kama Ticha ni mpiga 'mambo' wangempa tu onyo inatosha....ali mradi kama anapiga baada ya kazi.
 
Silinde hajielewi kabisa,ana kimbelembele kilichopitiliza.
 
By Pascal Mwakyoma TZA

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.

Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.

Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kua ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.

Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
Huyu naibu waziri ni mpumbavu, na ndo hao watafuta sifa KWa uongonzi wasiostahili, kujipendekeza Kama yale ya mwendazake , kwani mtumishi wa umma Hana mawazo yake mbadala?

Aliniambia mzee wangu siku moja nikiwa tanga mwaka mmoja,

Kwamba wakati wa Mchakato wa Vyama vingi yeye akiwa ameamia kiwanda Cha mkonge akitoake fire Dar ,KWa mshahara wa 350 tsh TOKA tsh 300, yalipita maoni KWa wafanyakazi wa umma akiwemo yeye ,akakubali kwenye form ya maandishi kwamba anaunga Vyama vingi basi,anakwambia kila siku wanausalama walikua hawapungui kwake,(KWA kujipendekeza KWA Mwalim ) na walipata haibu ya mwaka baada ya mwl ruhusu vyama vya siasa ,

So SILINDE NI MNAFIKI Rais asisemwe kwani ndo Mungu wa Tanzania shame at you Silinde, na je amejuaje kwamba Mwl alicho kisema hata Rais hakioni sawa?

Eti kafanya uchunguzi ,yeye Kama nani fanya uchunguzi, vyombo vya uchunguzi si vipo , ngoja nifuatilie hii kitu , bado Niko maskini ila uonevu spendi, ,Hawa lazima kupigwa maombi watenguke viuno,wasife ili adabu iwakae,

Una msimamisha mtu KWa Mambo ya kijinga na upumbavu, familia yake anailisha yeye,? Na li v8 lake mjinga Sana, sifa za teuzi zitawaua Kama sio kuwatokea puani ,wait and see
 
Huyu mwalimu anatakiwa apewe onyo na siyo kufukuzwa kazi.
Kwa ujumla ni kwamba wataalam ikiwa ni pamoja na walimu hawatakiwi kujihusisha na siasa moja kwa moja na hivyo hawatakiwi kuadhibiwa na wanasiasa.
 
Huyo mwalimu ni wa kike? maana nimeona kama kuna maneno ya kusutana ambayo ni common miongoni mwa wanawake.....
 
In a real situation mawaziri hawana mamlaka ya suspend au kusack mtuMoshi yeyote wavserikali. Ni katibu mkuu Utumishi tu au mfanyakazi mwingine ambaye katibu mkuu amedelegate hizo powers. Wengine wote wana weza kupendekeza tu kaw huyo kwenye mamlaka. waziri Hana mamlaka maana siyo mwajiri. Mawaziri wetu wana akili ya bata ndiyo maana wanafanya hivyo. Yes, mwalimu Ana makosa, huyo mwalimu mkuu yuko wapi kumripoti. Kuna DAS, RAS? Wote ho wana mamlaka waliyopewa na Karibu mkuu. Means siasa Hana mamlaka, Hana powers za kuajiri.
Hata huyo Das na Ras wana Mamlaka kwa Watumishi walio chini hao tu,Mwalimu yupo chini ya Mkurugenzi ndio mwenye Mamlaka ya kumsimamisha kazi tena ni baada ya kikao cha nidhamu kukaa.
 
By Pascal Mwakyoma TZA

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.

Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.

Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kua ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.

Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
Tumekwisha. Kukataa kumuunga mkono Rais kwa sababu ni mwanamke limekuwa kosa lake kumsimamisha kazi mtu? Na kasema hivyo akiwa sokoni na sio kazini kwake? Hawa ex Chadema kweli hawafai.

Amandla...
 
Tumekwisha. Kukataa kumuunga mkono Rais kwa sababu ni mwanamke limekuwa kosa lake kumsimamisha kazi mtu? Na kasema hivyo akiwa sokoni na sio kazini kwake? Hawa ex Chadema kweli hawafai.

Amandla...
Fafanua KWA kina mkuu ,x chadema wamanisha nini?
 
Walikuwa wana chama wa Chadema na wakahamia Chama Cha Mapinduzi.

Amandla...
Ok,ila pia bila kujali ni chama gani ,mtumishi sio mfungwa, anaweza toa mawazo binafsi , mfano akisema SSHrais hamuungi mkono ana sababu zake ,Sasa Silinde na kimbelembele ati ana Msimisha KAZI , ni ujinga uliopitiliza kiwango cha Uwaziri,
 
Ok,ila pia bila kujali ni chama gani ,mtumishi sio mfungwa, anaweza toa mawazo binafsi , mfano akisema SSHrais hamuungi mkono ana sababu zake ,Sasa Silinde na kimbelembele ati ana Msimisha KAZI , ni ujinga uliopitiliza kiwango cha Uwaziri,
Silinde ni ex Chadema.

Amandla...
 
Back
Top Bottom