Mwalimu asimamishwa kazi kwa kumtukana Rais Samia

Mwalimu asimamishwa kazi kwa kumtukana Rais Samia

halafu ni kwa mtazamo wangu kesi hiyo ni word against word maan aaliye mshitaki alimskia akiongea sokoni na kama hana ushaidi basi sijaona hakiya yeye kusimamishwa pasipo uchunguzi nikesiya upande mmoja tu
Ni mambo ya hovyo tupu
 
Kichwa cha habari kilitakiwa kiwe : MWALIMU ASIMAMISHWA KAZI KWA KUTUHUMIWA KUMTUKANA RAIS. Moderator
 
By Pascal Mwakyoma TZA

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.

Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.

Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kuwa ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.

Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
Magu legacy in action. It will take time before the hangover is clear.
 
Shame republic of ignorant Tanzania
 
Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.
Sasa kwani Rais Sami ni MWANAUME? Mimi sijaona tusi alilotukanwa hapa!
 
Huyu silinde asifikiri jiwe bado yupo, zama zimebadikika

Mwalimu kusema kupandishwa madaraja ni hongo ili mama aungwe mkono ni kosa?
Mona mnamsema Silinde hamumgusi naliyesema tena kwa Jazba. Naye amesema atampeleka kwenye Mamlaka Husika. Hebu acheni Uhasidi wenu!. Halkafu =Hayati ameondoka hebu muacheni apumzike muendelee na yenu amewaachia mnafurukuta furukuta tu!
 
Iruhusiwe kumtukana rais kama sehemu ya political speech.

Ukiwazuia watu kumtukana rais, unawaacha wafurukutwe na machungu yao vichwani, mwishowe waamue kumpiga rais risasi.

Lese Majeste is medieval.

This is supposed to be Tanzania, not Thailand.
 
Duh Kama ndo perception yake kwamba hawezi muunga mkono mwanamke wamuache
By Pascal Mwakyoma TZA

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.

Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.

Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kuwa ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.

Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
 
Hiyo Silinde haache ujinga, mbona tunajua, kwamba hao anao wafanyia mizengwe walikuwa wanampinga kwenye uchaguzi mwaka Jana. Haache visasi vya kipuuzi, vitamfelisha .yeye inatakiwa avunje makundi ili imsaidie 2025 ,atajua hajui huko mbeleni
 
Kama silinde ndo hamefika stage hiyo basi
Lahana za mwendazake
Ila jamaa alikuwa smart sana kipindi yupo cdm
 
Ukweli usemwe, mama yenu hatoshi…. moyo wako pia unajua hilo.
 
Back
Top Bottom