Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mambo ya hovyo tupuhalafu ni kwa mtazamo wangu kesi hiyo ni word against word maan aaliye mshitaki alimskia akiongea sokoni na kama hana ushaidi basi sijaona hakiya yeye kusimamishwa pasipo uchunguzi nikesiya upande mmoja tu
Magu legacy in action. It will take time before the hangover is clear.By Pascal Mwakyoma TZA
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.
Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.
Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kuwa ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.
Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
Sasa kwani Rais Sami ni MWANAUME? Mimi sijaona tusi alilotukanwa hapa!Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.
Mona mnamsema Silinde hamumgusi naliyesema tena kwa Jazba. Naye amesema atampeleka kwenye Mamlaka Husika. Hebu acheni Uhasidi wenu!. Halkafu =Hayati ameondoka hebu muacheni apumzike muendelee na yenu amewaachia mnafurukuta furukuta tu!Huyu silinde asifikiri jiwe bado yupo, zama zimebadikika
Mwalimu kusema kupandishwa madaraja ni hongo ili mama aungwe mkono ni kosa?
By Pascal Mwakyoma TZA
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Momba, Shela Mwangoka amesimamishwa kazi na Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde kwa kudaiwa kumtusi Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika kadamnasi ya watu kwa dhihaka kwa lugha zisizofaa kwa Rais.
Hayo yamebainika baada ya mkutano wa shina kati ya wananchi wa Kijiji cha Washo Kata ya Myunga Wilaya ya Momba Emily Skanyika na Jacob Miyala ambao walitoa kero yao kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM Shaka Hamdu Shaka kuwa mwalimu huyo amekua akitoa lugha za matusi mara kwa mara hali ambayo inawachafua wananchi hao kuona Rais wao anatukanwa.
Kwa upande wake Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema amefanya uchunguzi mdogo baada ya kusikia malalamiko hayo kujiridhisha na kugundua kuwa ni tabia ya Mwalimu huyo kufanya hivyo na mara ya mwisho ni wiki moja iliyopita akiwa sokoni alipoona Rais Samia kaongeza madaraja na mishahara kwa watumishi wa umma akasema ni hongo ili amuunge mkono akasema hawezi muunga mkono sababu ni mwanamke.
Credit: Millard Ayo, Jul 10, 2021
Hugo ndio nini?Sasa wanaona kazi ya ualimu ni bonge la kazi mpaka wamfukuze Hugo mwalimu mwenye stress ya kutokuongezewa mshahara kwa miaka 6 ya yule sanamu
Hivi kwanini walimu huwa wanaonewa sana.
Huyo alomsimamisha nadhani anashida kuliko mwalimu na hajui nafasi yake ya unaibu waziri