Bepari1989
Member
- Jun 3, 2016
- 84
- 17
Inauma sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana. Ila naomba nikushauri usithubutu kukubali kutimika kisiasa. Tunajua kuna vita kubwa sana Arusha.
Gambo Vs Lema
Madiwani Vs Mkurugenzi
Sasa kuwa makini, usikubali kutumika. Mtangulize Mungu, Familia yako na Ndugu zako. Hao wengine watakaopenda kukutumia wao watakuwa na furaha na familia zao kama utapoteza kazi
Umesoma habari mpaka mwisho? Lema hapo kaingiaje? Mkuu wa mkoa katajwa? Muacheni kaka wa watu..... Jibu ulicho kisoma.Tuwe tu makini na hizi habari maana tangu Lema amenyamazishwa, anaweza akaja kwa staili nyingine ya kulivuruga jiji. Mtekaji gani akuteke, akueleze kosa lako, halafu akuachie?
Meanza kumuogopa lema kama Lowassa? Hivi lema angetoa wapi mpaka ushaidi wa barua za kupandishwa cheo?Tuwe tu makini na hizi habari maana tangu Lema amenyamazishwa, anaweza akaja kwa staili nyingine ya kulivuruga jiji. Mtekaji gani akuteke, akueleze kosa lako, halafu akuachie?
kuna watu wametumwa kuvuruga Arusha...Arusha kunani tena?
Sometimes naona kamaa hawana meno vile, wamelala kweliCWT mpoo?
Mwachama katekwa na Kunyanyaswa.
Toeni mwongozo......
This is injustice,haikubaliki hata kidogo
Mkuu kweli ni hatari sanaKweli kama hapa ndipo tulipofikia nchi hii, Mungu anaona
Teh..tehChama cha majambazi (CC..)
Usiulize kifupi chake maana unaweza kupewa kesi asubuhi kabla jogoo hajawika
Siyo kidogoHawa ccm ni laana
Mapungufu au upuuzi wa watekaji haiwezi kuwa sababu ya kufanya tusiamini uwepo wa tukio la utekaji haraka kiasi hiki. Wakati mwingine tukio la utekaji huweza kupangwa kipuuzi kutegemea na malengo ya watekaji au mfadhili wa utekaji wenyewe. Umakini unaotaka tuwe nao ni pamoja na wewe kutoharakisha kupuuza utekaji kwa sababu ya upuuzi wa watekaji!Tuwe tu makini na hizi habari maana tangu Lema amenyamazishwa, anaweza akaja kwa staili nyingine ya kulivuruga jiji. Mtekaji gani akuteke, akueleze kosa lako, halafu akuachie?
Nani anatumika kisiasa kati ya mhanga huyu na DED?Umempa ushauri Mzuri sana na watu watakaopinga ushauri wako ni wale waliojipanga kumtumia kisiasa!