Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

Mwalimu atekwa afanyiwa unyama Jijini Arusha

Kuna kaharufu kabaya hapa.
Yatakiwa uwe na macho ya rohoni,kwny nchi yako utakapokosoa wakubwa au watu walio kwenye Channeli lazima ile kwako.
 
Namshauli huyo mwalimu akafanyiwe vipimo binafsi vya HIV jambo kama hilo linaweza kuusisha hata hao polisi wanaodai kumwokota uenda wana huusiano na watekaji sikuizi ni polisi wachache waaminifu mbele ya haki tunamtaka raisi ashugulikie ili swala mwenyewe
 
Hii Habari inamchezo
Na kwa vile ni Arusha,sishangai kabisaaa
Haya ndio yale mambo ya yule Mwaandishi wa Habari wa DW wa Zanzibar aliesema katekwa,leo kimyaa baada ya kuumbuka.

Sasa ni ngum saana kwa mtekaji kujieleza namna ile,na ni ngum saana mtekaji kuwa mnajuana halafu yeye ndio afanye tukio.Na pia uwezo wa kupambana na watu mpaka ukavunja kioo cha gari,labda iwe ni ushahidi tu,lakini ngum saana mtekaji kukuachia wazi kirahisi namna hiyo.

Ukweli utajulikana,ila Pole saana,na hope utasaidiwa
Ila Mshahara wa dhambi siku zote ni mauti
Akili zako ndogo kuelewa akusema mtekaji anamjua ila kwajinsi mtekaji alivyo mwita nikama anamfahamu huyo mwalimu hivyo mwalimu akuwa na wasiwasi kusalimiana naye .umeelewa wetoto ndogo
 
Namshauli huyo mwalimu akafanyiwe vipimo binafsi vya HIV jambo kama hilo linaweza kuusisha hata hao polisi wanaodai kumwokota uenda wana huusiano na watekaji sikuizi ni polisi wachache waaminifu mbele ya haki tunamtaka raisi ashugulikie ili swala mwenyewe
Angekuwa mwanafunzi kapewa kichapo wangekuwa wamechukua hatua lakini sasahivi siyo Mwigulu, wala waziri wa wizara husika wala RC aliyechukua hatua hii nitofauti kabisa na waluchokifanya kwenye sakata la denti kupikwa wakati hili ni baya zaidi...
 
Pole sana. Ila naomba nikushauri usithubutu kukubali kutimika kisiasa. Tunajua kuna vita kubwa sana Arusha.

Gambo Vs Lema
Madiwani Vs Mkurugenzi

Sasa kuwa makini, usikubali kutumika. Mtangulize Mungu, Familia yako na Ndugu zako. Hao wengine watakaopenda kukutumia wao watakuwa na furaha na familia zao kama utapoteza kazi
mtu anaongea ugali we unawaza mavi....hivyo vita...wpi wanatumia walimu kama siraha?
 
kama utashindwa kuipata itafute YouTube kwa kusearch 'Walimu isikilizeni hii'
1478211889740.jpg
 
nani anaweza kumshauri MWALIMU huyu, amsaidie kabla hajapata madhara makubwa zaidi.
 
[QUOTNE="mahoza, pNost: 18338629, member: 73729"]Haifunguki mkuu.[/QUOTE]
Nimemsikiliza huyu mwalimu mpaka nasikia mwili unasisimka. Mwalimu kwanini usitafute private lawyer au walimu wote wakusaidie mchange mumtafute lawyer ambaye anaweza kusimamia hili? Kama unakumbuka sura za hao watu mnaweza kuwatress mpaka mwajue. Kikubwa ni yale maneno uliyoambiwa kabla hujalewshwa na dawa na mhusika mkuu. Vile vile ungeweka na zile message za Whatsup utoe copy ili mnaposhughulika na huyo Maggige ahusishwe. Nchi hii tulifikiri awamu hii haitakuwa na hayo ya Mabwe kumbe mwendelezo ndo huo huo????
 
Pole sana mwalimu.Hiyo ndio dunia ya leo.Tegemeo lako la mwisho ni Mwenyezi Mungu pekee maana uadilifu wake hauna shaka.
 
[QUOTNE="mahoza, pNost: 18338629, member: 73729"]


Mh.Catherine Magige umafia kauanza siku nyingi!
Kasogezewa Katibu Tawala Mkoa,wayaendeleze mema mengi waliyoyaanzisha huko nyuma.
 
Back
Top Bottom