Watoto Wa siku hizi bwana wako delicate sana! Viboko tu mpaka unakata roho? Labda kama umepigwa kichwani! Enzi zetu unanyeshewa viboko ulikuwa na ujasiri wa kuvihesabu mpaka unapoteza hesabu maana unaanza 1,2,3,4.......50............70.......baadaye steam inakata unapoteza mahesabu lakini ukitoka hapo mwendo mdundo tu!!! Nakumbuka nilikamatwa na second master nimetoroka school Baraza nikaenda town niliburuzwa fimbo sina hamu! Sijui second Kikome yuko wapi siku hizi?
R.I.P wote, mwanafunzi afya mgogoro na mwalimu katiri!