nyilaegenge
Senior Member
- Apr 13, 2014
- 198
- 105
Mwalimu mmoja ajira mpya ameuwawa kikatili na wananchi wenye hasira baada ya kusababisha kifo cha mwanafunzi wake.
Mwalimu huyo alikuwa anafundisha Shule ya Sekondari Chinamili iliyopo wilaya ya Itilima mkoa mpya wa Simiyu.
Mwalimu alikuwa anamwadhibu mwanafunzi kwa viboko lkn bahat mbaya akapoteza maisha.
Mungu awapumzishe kwa amani!
Mwalimu huyo alikuwa anafundisha Shule ya Sekondari Chinamili iliyopo wilaya ya Itilima mkoa mpya wa Simiyu.
Mwalimu alikuwa anamwadhibu mwanafunzi kwa viboko lkn bahat mbaya akapoteza maisha.
Mungu awapumzishe kwa amani!