Nilipokuwa Tambaza alikuwepo H/M Karumuna(Father K), huyu mzee alikuwa noma.RIP
. Nilipokuwa Tosamaganga nilimkuta H/M anaitwa Dudu. Huyu alikuwa anakuchapa fimbo+constant (constant=,fimbo 6)
. Alikuwepo pia mwalimu Soldier. Huyu usiposafisha meza d/h halafu yupo zamu anasafisha yeye, sasa subiri muziki wake akikupata