Unahifadhi jina wakati linajulikana?Acha mbwembwe.Nashauri Rais WA TEC, Padri Gervais Nyaisonga, ambaye pia alishawahi kuwa Mkuu wa Shule ya Pandahill wamuondoe Mwalimu huyu katika hii shule ya Pandahill.
Amehusishwa na upotevu wa Mwanafunzi wa Kidato cha Tano Mchepuo wa PCB. Jina linahifadhiwa
Nawasilisha Ushauri huu Kwa Rais WA TEC
Maranyingi tunasema usitamke neno hadi uwe na ushahidi angalau wa kitu kimoja kati ya mengi unayodhania.Nashauri Rais WA TEC, Padri Gervais Nyaisonga, ambaye pia alishawahi kuwa Mkuu wa Shule ya Pandahill wamuondoe Mwalimu huyu katika hii shule ya Pandahill.
Amehusishwa na upotevu wa Mwanafunzi wa Kidato cha Tano Mchepuo wa PCB. Jina linahifadhiwa
Nawasilisha Ushauri huu Kwa Rais WA TEC
Umeiacha "is" na "the" sehemu au umezidondosha mkuu.Who the owner of school pls?
Mkuu kwa sie tuliosoma kitambo ni sawa kabisa Wala Haina shida na ndo mithili ya zile Bombastic zile unaondoa is.these etcUmeiacha "is" na "the" sehemu au umezidondosha mkuu.
Swadaktaa!Ingawa,lugha inakuwa na mapengo bin kibogoyo.Mkuu kwa sie tuliosoma kitambo ni sawa kabisa Wala Haina shida na ndo mithili ya zile Bombastic zile unaondoa is.these etc
Mwalimu anatwishwa uhuni wa mwanafunzi mjinga.Mwl hapo anahusikaje na wkt amekutwa kwa mwanaume?? Na km alikuwa ananyanyasika shuleni, kwnn hakwenda kwao???
Wakati tunamjua hadi baba joseUnahifadhi jina wakati linajulikana?Acha mbwembwe.
Baba Jose mchoma mkaa.Huku kijijini kwetu huwa tunamuita "Nyanyamkala"!Wakati tunamjua hadi baba jose
Ameopoa kimasiharaBaba Jose mchoma mkaa.Huku kijijini kwetu huwa tunamuita "Nyanyamkala"!
Bela gitogito,machokozi hayo!ππππTuache utani akina mwanyilu hamjui kukataa
Mnasema iringa kauli mbiu niangushage dhambi zako ila nyie mmezidiBela gitogito,machokozi hayo!ππππ