Mwalimu kufanya masters ya ualimu ni kuongeza stress za maisha....

Mwalimu kufanya masters ya ualimu ni kuongeza stress za maisha....

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Diploma-digrii#safi
Cheti-diploma#safi
TAMISEMI haitambui masters
Kama unabisha soma utaisoma namba na stress juu....
Kinachohudhi mshahara haupandi kamwe...
NB: km umepewa ahadi ya cheo kasome....
 
katika maisha yangu ya private sectors nimejifunza kupanda cheo ni zaidi ya vyeti... ukienda airtel, voda, puma, total, bollore, halliburton, TCC, TBL kuna mabosi wengi sana ambao hawana masters kabisa.... na wanakula mishahara ya kufa mtu..

wawekezaji wanataka results,, hawana haja na vyeti vingi... mtu anaefikia malengo na ana add value kwenye kampuni ndie wanampa mavyeo....
 
katika maisha yangu ya private sectors nimejifunza kupanda cheo ni zaidi ya vyeti... ukienda airtel, voda, puma, total, bollore, halliburton, TCC, TBL kuna mabosi wengi sana ambao hawana masters kabisa.... na wanakula mishahara ya kufa mtu..

wawekezaji wanataka results,, hawana haja na vyeti vingi... mtu anaefikia malengo na ana add value kwenye kampuni ndie wanampa mavyeo....
Tukipima matokeo kwenye utumishi umma hakuna bosi atakayebakia...
 
...Nimeona kwenye halmadhauri au manispaa wenye masters wanaenda wilayani kupewa vitengo.
We itakuwa sio mwl hao ni wawili kwa 1000 pia kitengo cha afisa elimu msingi/sekondari angalau unamshahara wa mkuu wa idara the rest njaa tupu hakuna kitu title tu cheo kiendane na pesa...bora ukuu wa shule kuna 250.
Mi nazungumzia kwa majority ...mfano mjeshi /polisi akifanya masters anachange kila kitu ndugu
95% ya viongozi wa elimu ni njaa tupu
 
We itakuwa sio mwl hao ni wawili kwa 1000 pia kitengo cha afisa elimu msingi/sekondari angalau unamshahara wa mkuu wa idara the rest njaa tupu hakuna kitu title tu cheo kiendane na pesa...bora ukuu wa shule kuna 250.
Mi nazungumzia kwa majority ...mfano mjeshi /polisi akifanya masters anachange kila kitu ndugu
95% ya viongozi wa elimu ni njaa tupu
....Katika walimu kumi ninaowafahamu waliojiendeleza 8 maisha yao yalibadilika than it before. Mimi siyo mwl...
 
....Katika walimu kumi ninaowafahamu waliojiendeleza 8 maisha yao yalibadilika than it before. Mimi siyo mwl...
Hao walisoma wakiwa na connection tayari, hapa bongo ukisoma bila kuwa na ahadi utarudi na hakuna atakayejua kuwa umesoma.
 
USISOME KWA KUTAFUTA VYEO VYA MSHAHARA VINGINEVYO UNAJITAFUTIA VIDONDA VYA TUMBO BURE.

SOMA KWA KUONGEZA MAARIFA ILI UTUMIE MAARIFA HAYO KUPATA FURSA ZINAZOENDANA NA ELIMU YAKO KISHA PAMBANA NA HALI YAKO.

MASTERS YA ELIMU KUTOTAMBULIKA KUSIKUFANYE UKATE TAMAA, ITUMIE MASTERS HIYO KUTAFUTA FURSA NDG MAANA MSHAHARA HATA UNGEONGEZWA UTAKUWA NA MAKATO ZAIDI.
 
USISOME KWA KUTAFUTA VYEO VYA MSHAHARA VINGINEVYO UNAJITAFUTIA VIDONDA VYA TUMBO BURE.

SOMA KWA KUONGEZA MAARIFA ILI UTUMIE MAARIFA HAYO KUPATA FURSA ZINAZOENDANA NA ELIMU YAKO KISHA PAMBANA NA HALI YAKO.

MASTERS YA ELIMU KUTOTAMBULIKA KUSIKUFANYE UKATE TAMAA, ITUMIE MASTERS HIYO KUTAFUTA FURSA NDG MAANA MSHAHARA HATA UNGEONGEZWA UTAKUWA NA MAKATO ZAIDI.
Acha chai
 
Acha chai
We ndugu umeshindwa kusoma masters nn mbona umekomaa hivyo?! Waache wanaosoma na wanaotaka kwenda kusoma hyo kitu kwa maana ni hela yao wanapoteza na c yako. Cha msingi tuwashauri kwamba wasiende kusoma kwa kutegemea wakimaliza tu watapanda vyeo na kuwa na muonekano tofauti. Wakati mwingine nafasi huja ktk muda usioutarajia,na nafasi hzo huweza kuzipata kutokana na kuwa na sifa Fulani pengine moja ya sifa hzo yaweza kuwa hyo Masters. So waache kwa wanaoweza kusoma wakasome,na ni vizuri ukawa na hazina ndugu.
 
We ndugu umeshindwa kusoma masters nn mbona umekomaa hivyo?! Waache wanaosoma na wanaotaka kwenda kusoma hyo kitu kwa maana ni hela yao wanapoteza na c yako. Cha msingi tuwashauri kwamba wasiende kusoma kwa kutegemea wakimaliza tu watapanda vyeo na kuwa na muonekano tofauti. Wakati mwingine nafasi huja ktk muda usioutarajia,na nafasi hzo huweza kuzipata kutokana na kuwa na sifa Fulani pengine moja ya sifa hzo yaweza kuwa hyo Masters. So waache kwa wanaoweza kusoma wakasome,na ni vizuri ukawa na hazina ndugu.
Pole sana
 
Masters hukuongezea elimu (knowledge na skills ) na kukuweka huru zaidi. Pia yaweza kufungua milango mingine.
 
Tunasoma kuonheza maarifa na ubunifu katika maisha. Halafu uchaguzi mbaya wa aina ya course utakazo soma ndio kaburi lako mfano unasoma curriculum development, sijui nini hizi hadi upate chance serikalini.
Kuna nyanja kama monitoring and evaluation, assessment and evaluation hizi ukiwa vizuri una add value katika kufanya mambo mengi
 
Back
Top Bottom