kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Ya nn tena?!Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya nn tena?!Pole sana
Mshike sana elimu husimwache aende zake...........katika maisha yangu ya private sectors nimejifunza kupanda cheo ni zaidi ya vyeti... ukienda airtel, voda, puma, total, bollore, halliburton, TCC, TBL kuna mabosi wengi sana ambao hawana masters kabisa.... na wanakula mishahara ya kufa mtu..
wawekezaji wanataka results,, hawana haja na vyeti vingi... mtu anaefikia malengo na ana add value kwenye kampuni ndie wanampa mavyeo....
Akili mgandoHao walisoma wakiwa na connection tayari, hapa bongo ukisoma bila kuwa na ahadi utarudi na hakuna atakayejua kuwa umesoma.
Jidanganye tu.Wanaongeza ufanisi, siku mambo yakibadirika mtaelewa.
Yatabadilika ukistaafuWanaongeza ufanisi, siku mambo yakibadirika mtaelewa.
Mkuu kwani uongo!...we ualimu ulifika kibahati tu,..."ilmu dunia ni ukafiri!"We k
Mnafki sana
Tunasoma ili tupate skills za kupambana na mazingira siyo kutafuta vyeo serikalini tu.Nadhani swala la msingi ni kuwa makini tunapochagua kozi za kusoma.Diploma-digrii#safi
Cheti-diploma#safi
TAMISEMI haitambui masters
Kama unabisha soma utaisoma namba na stress juu....
Kinachohudhi mshahara haupandi kamwe...
NB: km umepewa ahadi ya cheo kasome....
Acha kulazimisha watu waamini vile wewe unataka/unaamini ,Mimi nina diploma nataka nisome hadi PhD,usinipangie acha nipambane na hali yangu,taka yangu sio taka yakoAcha chai
Ila elimu sahihiMshike sana elimu husimwache aende zake...........
Safari njema uendakoNINAENDA KUSOMA MASTER OF EDUCATION IN CURRICULUM STUDIES,,,, siwezi kuweka maanani mawazo yako.... Baada ya masomo nitarudi kazini na kufanya kazi kwa miaka 3 halafu niombe ruhusa nifanye Phd. KWAHERI
Hivi ukaguzi na vyuo vya ualimu Bora niniwengi wenye masters ni rahisi kuhamishiwa kitengo....ukiwa na nguvu unapelekwa UKAGUZI