Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Mimi naprefer Ukaguzi maana najua lazima ntapata extra time ya kufanya ishu zingineHivi ukaguzi na vyuo vya ualimu Bora nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naprefer Ukaguzi maana najua lazima ntapata extra time ya kufanya ishu zingineHivi ukaguzi na vyuo vya ualimu Bora nini
Kwa upande wa kipato (fursa za kupata hela inje ya salary) wapi kuzuriMimi naprefer Ukaguzi maana najua lazima ntapata extra time ya kufanya ishu zingine
Hapo sina uelewa sana mkuuKwa upande wa kipato (fursa za kupata hela inje ya salary) wapi kuzuri
Ok pamojaHapo sina uelewa sana mkuu
Kwanza na uwalimu wenyewe NI stress tosha ndio maana niliachaga me nilipoona hakuna future,na Allah Bariki Maamuzi yangu yalikuwa Sahihi japo nilipitia Moto ila now 🤣🤣🤣Diploma-digrii#safi
Cheti-diploma#safi
TAMISEMI haitambui masters
Kama unabisha soma utaisoma namba na stress juu....
Kinachohudhi mshahara haupandi kamwe...
NB: km umepewa ahadi ya cheo kasome....