Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

Hii inanikumbusha kauli moja iliwahi kusemwa na wahenga kuwa ukibebwa bebeka na ukilishwa kamwe using'ate kidole kikulishacho!

Hatimaye rasmi sasa bwana huyo kukiona cha moto kwa kurudishwa kituo chake cha kazi kama Mwalimu Mwandamizi Daraja A katika Manispaa ya Temeke.

Ikumbukwe kwamba Ndg. Japhet Maganga na Viongozi wenzake wa CWT walikataa uteuzi huo January mwaka huu na wakasahau kwamba wanafanya kazi katika serikali hiyo hiyo yenye mamlaka ya kuwasubiri (hii imedhihirisha usemi wa aliye juu mgonje chini)

Leo nilishtuka baada ya kuona barua hii Kutoka Tamisemi ikiwa imeandikwa na manispaa ya Temeke. Maelezo yote yapo kwenye barua hii;

Kwa nini barua ya mwajiri na mwajiriwa inawekwa kwa umma. Kwani alipoomba kuazimwa alituandikia?
Anyway kwani KAZI ya ualimu ni adhabu? Si ndio aliisomea?
 
Safii sana, ilikuwa dharau sana kwa Mamlaka ya uteuzi, yaani unamchagua mtumishi wa Umma kuwa DC anakataa kweli? Safii kabisa
Kwa hiyo kama hana uzoezi na hiyo KAZI ya UDC na anaona ataharibu akubali tu?
 
Bwana Maganga ana akili sana tena kuzidi wewe mtoa mada alijua fika kuwa cheo cha ukuu wa wilaya ni cheo cha kwenda kudhalilishwa na alikuwa ametegwa ali atenguliwe na kupigwa bench kwa mgongo wa kupangiwa kazi nyingine …kwa hiyo alikuwa mbele ya muda na alifikiri zaidi yako….

Hivi kwa akili yako kabisa alikataa tuu bila kujua kitakachotokea? Alijua fika…
Bora afundishe kwa uhuru kabisa kuliko kwenda kudhalilishwa kwenye ukuu wa wilaya…
Yuko wapi jerry muro? Leo tuu mkuu wa wilaya ya Mtwara katenguliwa…

Alifanya jambo sahihi kabisa
Huu utawala wa kukomaa, visasi na vinyongo hautakuwa na mwisho mzuri, wangejifunza kwa awamu iliyopita
 
Kwamba tangazo haliwezi kuwa taarifa?
Haliwezi, Tangazo na Taarifa ni vitu viwili tofauti kabisa. Kimsingi hili halikupaswa kuwa Tangazo bali Taarifa.

Tangazo linakaribisha walioandikiwa kushiriki hilo jambo mf. Kununua, kuuza, kuomba, kutaarifu

Ila Taarifa ina lengo moja tu, kufahamisha, na halihitaji sisi umma kufanya jambo.

Hivyo hapo ilitakiwa kutupa taarifa tu na sio kututangazia sababu hakuna tutakachofanya juu ya hilo tangazo lao.
 
Sijaelewa mantiki ya kututangazia sisi, wakati barua hiyo ilipaswa kuwa confidential
 
Bwana Maganga ana akili sana tena kuzidi wewe mtoa mada alijua fika kuwa cheo cha ukuu wa wilaya ni cheo cha kwenda kudhalilishwa na alikuwa ametegwa ali atenguliwe na kupigwa bench kwa mgongo wa kupangiwa kazi nyingine …kwa hiyo alikuwa mbele ya muda na alifikiri zaidi yako….

Hivi kwa akili yako kabisa alikataa tuu bila kujua kitakachotokea? Alijua fika…
Bora afundishe kwa uhuru kabisa kuliko kwenda kudhalilishwa kwenye ukuu wa wilaya…
Yuko wapi jerry muro? Leo tuu mkuu wa wilaya ya Mtwara katenguliwa…

Alifanya jambo sahihi kabisa
Hizo akiliiiii au tope?
 
Hii inanikumbusha kauli moja iliwahi kusemwa na wahenga kuwa ukibebwa bebeka na ukilishwa kamwe using'ate kidole kikulishacho!

Hatimaye rasmi sasa bwana huyo kukiona cha moto kwa kurudishwa kituo chake cha kazi kama Mwalimu Mwandamizi Daraja A katika Manispaa ya Temeke.

Ikumbukwe kwamba Ndg. Japhet Maganga na Viongozi wenzake wa CWT walikataa uteuzi huo January mwaka huu na wakasahau kwamba wanafanya kazi katika serikali hiyo hiyo yenye mamlaka ya kuwasubiri (hii imedhihirisha usemi wa aliye juu mgonje chini)

Leo nilishtuka baada ya kuona barua hii Kutoka Tamisemi ikiwa imeandikwa na manispaa ya Temeke. Maelezo yote yapo kwenye barua hii;

Akaache kazi
 
Hizi ndizo akili za watanzania maana 99.9% ni machawa hawana msimamo na wala hawafuati wanachotaka.
Yeye hakutaka uteuzi akakataa, ila watu wanamnanga kama vile kuna kosa alilofanya

Hajafanya kosa lolote ila na wao wanamuhitaji hapo Temeke akashike chaki! Kuna tatizo mwajiri wako kukuita kazini?
 
Ndiyo watawala wako hao. Siku zote wanatumia njia za aina hii ili kutengeneza mazingira ya kuogopwa.

Ningekuwa mimi ndiyo huyo Mganga, nisingeripoti hiyo tarehe 1 Oktoba. Halafu wakinifukuza kazi yao, poa tu.

Au sio😁
 
Jamaa watakua wameshamtengea ka kesi kake saafi ka either kubaka Mwanafunzi.
Ni swala la muda tu.
Hii inanikumbusha kauli moja iliwahi kusemwa na wahenga kuwa ukibebwa bebeka na ukilishwa kamwe using'ate kidole kikulishacho!

Hatimaye rasmi sasa bwana huyo kukiona cha moto kwa kurudishwa kituo chake cha kazi kama Mwalimu Mwandamizi Daraja A katika Manispaa ya Temeke.

Ikumbukwe kwamba Ndg. Japhet Maganga na Viongozi wenzake wa CWT walikataa uteuzi huo January mwaka huu na wakasahau kwamba wanafanya kazi katika serikali hiyo hiyo yenye mamlaka ya kuwasubiri (hii imedhihirisha usemi wa aliye juu mgonje chini)

Leo nilishtuka baada ya kuona barua hii Kutoka Tamisemi ikiwa imeandikwa na manispaa ya Temeke. Maelezo yote yapo kwenye barua hii;

Huyo jamaa angekuwa anajielewa ni bora angekimbia nchi tu.
mpaka sasa Jamaa watakua wameshamtengea ka kesi kake saafi ka either kuja kudharirisha Mwalimu mwenzake au kubaka Mwanafunzi. Lakini kabla ya hizo kesi wataanza kwa kumpandisha Cheo.

Ni swala la muda tu.
 
Back
Top Bottom