Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
Kwa wale walio sali lile kanisa pale Obay na waliofanya mafundisho ya Kommunio ya kwanza na Kipaimara, nadhani mtakuwa mnamkumbuka mwalimu moja wa mafundisho hapo, aliye kuwa ana uliza maswali ya kudhalilisha anapo kufanyia usalihi na wengine walisema wali nyanyaswa kingono naye.
Je mnamkumbuka huyo mwalimu na kulikua na tuhumu za kumnyanyasa kingono kijana mmoja ambaye baba yake alikua ana nafasi kubwa serikalini , swali ninalo jiuliza kwanini hakuwahi kamatwa ? , je watoto wengi hawa kuwahi ongea , ingawa habari zilikuwa zina sambaa kwamba ni Mwalinu basha, inakuaje wazazi walimpa heshima kubwa?
Personally sikuwahi dhalilishwa naye, ila aliwahi niita na kuniuliza maswali kwenye mtihani wa mafundisho ya communio ya kwanza , ambapo alikuwa anatuita mmoja mmoja kwenye chumba cha darasa na aliniuliza swali "Kuzini ni kufanya nini?" , mimi nika mjibu kwamba sijui maana yake, akaniambia niseme tu nisiogope.
Nikajifanya sijui kabisa ina maana gani , wakati kumbe nimekubuhu na ninaangalia porno kipindi hicho kama sina akili nzuri na ninajua kila kitu. Je (Bila kumtaja jina lake) kuna yoyote anajua yuko wapi yule mwalimu na kama chochote kilimtokea?
Je mnamkumbuka huyo mwalimu na kulikua na tuhumu za kumnyanyasa kingono kijana mmoja ambaye baba yake alikua ana nafasi kubwa serikalini , swali ninalo jiuliza kwanini hakuwahi kamatwa ? , je watoto wengi hawa kuwahi ongea , ingawa habari zilikuwa zina sambaa kwamba ni Mwalinu basha, inakuaje wazazi walimpa heshima kubwa?
Personally sikuwahi dhalilishwa naye, ila aliwahi niita na kuniuliza maswali kwenye mtihani wa mafundisho ya communio ya kwanza , ambapo alikuwa anatuita mmoja mmoja kwenye chumba cha darasa na aliniuliza swali "Kuzini ni kufanya nini?" , mimi nika mjibu kwamba sijui maana yake, akaniambia niseme tu nisiogope.
Nikajifanya sijui kabisa ina maana gani , wakati kumbe nimekubuhu na ninaangalia porno kipindi hicho kama sina akili nzuri na ninajua kila kitu. Je (Bila kumtaja jina lake) kuna yoyote anajua yuko wapi yule mwalimu na kama chochote kilimtokea?