Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Wingawinga

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
623
Reaction score
1,531
Kwa wale walio sali lile kanisa pale Obay na waliofanya mafundisho ya Kommunio ya kwanza na Kipaimara, nadhani mtakuwa mnamkumbuka mwalimu moja wa mafundisho hapo, aliye kuwa ana uliza maswali ya kudhalilisha anapo kufanyia usalihi na wengine walisema wali nyanyaswa kingono naye.

Je mnamkumbuka huyo mwalimu na kulikua na tuhumu za kumnyanyasa kingono kijana mmoja ambaye baba yake alikua ana nafasi kubwa serikalini , swali ninalo jiuliza kwanini hakuwahi kamatwa ? , je watoto wengi hawa kuwahi ongea , ingawa habari zilikuwa zina sambaa kwamba ni Mwalinu basha, inakuaje wazazi walimpa heshima kubwa?

Personally sikuwahi dhalilishwa naye, ila aliwahi niita na kuniuliza maswali kwenye mtihani wa mafundisho ya communio ya kwanza , ambapo alikuwa anatuita mmoja mmoja kwenye chumba cha darasa na aliniuliza swali "Kuzini ni kufanya nini?" , mimi nika mjibu kwamba sijui maana yake, akaniambia niseme tu nisiogope.

Nikajifanya sijui kabisa ina maana gani , wakati kumbe nimekubuhu na ninaangalia porno kipindi hicho kama sina akili nzuri na ninajua kila kitu. Je (Bila kumtaja jina lake) kuna yoyote anajua yuko wapi yule mwalimu na kama chochote kilimtokea?
 
Kama unataka kumtunza lazima taarifa zake kamili kuhusu wap alipo zitakua ofisi aliyokua anafanyia kazi

Bila kusimama upande wowote ule , kazi yoyote inayoushisha kufundisha ualimu zinakuwaga na lawama nyingi sana na ni mara chache sana kukuta hizo lawama zinaukweli, ni vile waalimu wengi wamezoea kuishi kama watumwa .
 
Kama unataka kumtunza lazima taarifa zake kamili kuhusu wap alipo zitakua ofisi aliyokua anafanyia kazi

Bila kusimama upande wowote ule , kazi yoyote inayoushisha kufundisha ualimu zinakuwaga na lawama nyingi sana, ni vile waalimu wengi wamezoea kuishi kama watumwa .
Ok,
 
Kama unataka kumtunza lazima taarifa zake kamili kuhusu wap alipo zitakua ofisi aliyokua anafanyia kazi

Bila kusimama upande wowote ule , kazi yoyote inayoushisha kufundisha ualimu zinakuwaga na lawama nyingi sana na ni mara chache sana kukuta hizo lawama zinaukweli, ni vile waalimu wengi wamezoea kuishi kama watumwa .
yule mwenye vita na walimu akisikia au kuona hapa ulippoandika. Walimu watajuta🤣🤣🤣 anyway Mpwayungu Village unasemaje hapo walimu kuishi kama watumwa? Ila leo warushie taulo wakufunzi wetu walotutoa ujingan
 
Sija fahamu yuko wapi, ila kuna uwezekano amenyanyasa watoto wengi sana hapo na kama yuko hai ina wezekana ana nyanyasa bado ila atakua ni babu kwa sasa.
kama wewe hakukunyanyasa basi na wengine hakuwanyanyasa pia

la maana ni kumuombea mema huko alipo

HUKUMU ULICHOONA
USIHUKUMU ULICHOSIKIA
 
Kwa wale walio sali lile kanisa pale Obay na waliofanya mafundisho ya Kommunio ya kwanza na Kipaimara, nadhani mtakuwa mnamkumbuka mwalimu moja wa mafundisho hapo, aliye kuwa ana uliza maswali ya kudhalilisha anapo kufanyia usalihi na wengine walisema wali nyanyaswa kingono naye.

Je mnamkumbuka huyo mwalimu na kulikua na tuhumu za kumnyanyasa kingono kijana mmoja ambaye baba yake alikua ana nafasi kubwa serikalini , swali ninalo jiuliza kwanini hakuwahi kamatwa ? , je watoto wengi hawa kuwahi ongea , ingawa habari zilikuwa zina sambaa kwamba ni Mwalinu basha, inakuaje wazazi walimpa heshima kubwa?

Personally sikuwahi dhalilishwa naye, ila aliwahi niita na kuniuliza maswali kwenye mtihani wa mafundisho ya communio ya kwanza , ambapo alikuwa anatuita mmoja mmoja kwenye chumba cha darasa na aliniuliza swali "Kuzini ni kufanya nini?" , mimi nika mjibu kwamba sijui maana yake, akaniambia niseme tu nisiogope.

Nikajifanya sijui kabisa ina maana gani , wakati kumbe nimekubuhu na ninaangalia porno kipindi hicho kama sina akili nzuri na ninajua kila kitu. Je (Bila kumtaja jina lake) kuna yoyote anajua yuko wapi yule mwalimu na kama chochote kilimtokea?
Aisee dogo kama alikupasulia yai usifiche hi Siri inabidi akamatwe Kisha afunguliwe mashitaka na uwe Shahid namba Moja sisi tuko nyuma yako
 
Personally sikuwahi dhalilishwa naye, ila aliwahi niita na kuniuliza maswali kwenye mtihani wa mafundisho ya communio ya kwanza , ambapo alikuwa anatuita mmoja mmoja kwenye chumba cha darasa na aliniuliza swali "Kuzini ni kufanya nini?" , mimi nika mjibu kwamba sijui maana yake, akaniambia niseme tu nisiogope.
Hilo swali mbona ni ndani ya somo sababu ni amri ya 6.
Vipi kama alikua anatimiza majukumu yake na alihitaji kufahamu uelewa wa watoto kama wanazielewa hizo amri za Mungu vema.

Ushahidi wa tuhuma zako ni batili so far
 
Kwa wale walio sali lile kanisa pale Obay na waliofanya mafundisho ya Kommunio ya kwanza na Kipaimara, nadhani mtakuwa mnamkumbuka mwalimu moja wa mafundisho hapo, aliye kuwa ana uliza maswali ya kudhalilisha anapo kufanyia usalihi na wengine walisema wali nyanyaswa kingono naye.

Je mnamkumbuka huyo mwalimu na kulikua na tuhumu za kumnyanyasa kingono kijana mmoja ambaye baba yake alikua ana nafasi kubwa serikalini , swali ninalo jiuliza kwanini hakuwahi kamatwa ? , je watoto wengi hawa kuwahi ongea , ingawa habari zilikuwa zina sambaa kwamba ni Mwalinu basha, inakuaje wazazi walimpa heshima kubwa?

Personally sikuwahi dhalilishwa naye, ila aliwahi niita na kuniuliza maswali kwenye mtihani wa mafundisho ya communio ya kwanza , ambapo alikuwa anatuita mmoja mmoja kwenye chumba cha darasa na aliniuliza swali "Kuzini ni kufanya nini?" , mimi nika mjibu kwamba sijui maana yake, akaniambia niseme tu nisiogope.

Nikajifanya sijui kabisa ina maana gani , wakati kumbe nimekubuhu na ninaangalia porno kipindi hicho kama sina akili nzuri na ninajua kila kitu. Je (Bila kumtaja jina lake) kuna yoyote anajua yuko wapi yule mwalimu na kama chochote kilimtokea?
Hatari sana.Kwa nini unaficha jina lake!?
 
Back
Top Bottom