Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Mwalimu mdhalilishaji watoto wa kiume Oysterbay yupo wapi siku hizi?

Unless mlikua mnafurahia huo udhalilishaji. Mnaweza kumshtak mahakaman na mkapata haki yenu. Jinai haifi
Hakuna anaye weza furahia unyanyaswaji wa kijinsia, nime weza ongea sababu siku wahi nyanyaswa naye zaidi alitaka kuni nyanyasa kw akunianisishia maneno ya kiutu uima nikiwa mtoto ,ila sababu nadhani nilikua mjanja teari anona akaona huyu dogo sita muweza , akaachia hapo, ila alianza niuliza maswali ya kiutu uzima.Kwangu nili nusurika je kuna wangapi wali weza nyanyaswa na hawawezi ongea ? kipindi hicho taarifa zilikuwepo , kila mtoto alijua huyo mwalimu ni basha , ila nadhani ni ile suala la kusema nikiongea hkuna atakaye niamini .
 
kama wewe hakukunyanyasa basi na wengine hakuwanyanyasa pia

la maana ni kumuombea mema huko alipo

HUKUMU ULICHOONA
USIHUKUMU ULICHOSIKIA
Yes hakuni nyanyasa, ila alitaka kuninyanyasa na habari zilikuwepo ame nyanyasa fulani na fulani, ila siku zote hawa pedophiles wana lindwa na watu kama nyie msio taka amini wala waza haya mambo yana wezekana watoto kudhalilisha , au labda utakuta na yie wenyewe ni pedophile na manaogoa uzi kama huu una weza wa expose wa mlio fanyia watoto.
Kuna kisa kimoja nilishuhudia , kulikua na mwanafunzi mmoja mkorofi sana , huyo mwanafunzi likua ni wale bully , aliye kua anapenda wapiga wanafunzi wengine wakiwa wanatoka shuleni ,yani mkiwa shuleni ana kufanyia ubabe , kama haumpi pesa ya kula ana kuambia ngoja tukitoka shule utaona, mkiwa njiani kurudi nyumbani ( sababu wengi wetu tumeishi jirani na shule so tunatembea tuu kwenda nyumbani) basi huyo mwanafunzi anaanza kutu dunda mangumi, wengine mpaka tukawa tunabadili njia kurudi home kumkimbia huyo jamaa alituonea sana , yeye ni wale wanafunzi walio kuja Obay kwa mjomba wake kuishi alitokea kijijini , hivyo alikua na malezi duni na nadhani alikua hapewi pesa ya ula shuleni .
Ikatoke kibaya zaidi ni kwamba , naye tukawa naye mafundisho, sasa utamkwepa ukitoka shule lakini utakumbana naye mkitoka mafundisho ,hapo ikawa balaa zaidi .
Kuna siku kwa ubabe wake , akaazna kumpiga mwanafunzi mmoja tukiwa tuna toka mafundisho ,yule mwanafunzi akawa analia na ndipo huyo mwalimu akamuona ,akamuuliza , yule mwanafunzi akasema , kilicho toke yule mwalimu aka muita yule mwanafunzi mkorofi , ana mchukua na kumpeleka chumbani kwake ambapo ni hapo hapo nje ya Kanisa alikua anaishi .
Baada ya kuingia ndani naye huyo mwanafunzi, sisi tukasogea mlangoni tukitaka sikiliza na ukawa tuna sikia.
Kikweli hatukuona kitu ila kwa sasa mimi mimi mzima ndio nimekuja pata wazo kwamba kile kilio nilicho sikia kule ndani sio cha mtu kuchapwa bakora, jamaa alikua analia kama anaumia kitu kina mwingia , halafu alikuwa akilia ana mwambia "kimya" kwa kumgombeza , tulimsikia analia kabisa huko ndani , sisi kwa utoto tukadhani ana chapwa basi tukaondoka.
Baada ya muda naye tukamuona ame toka huko ndani ana lia, wakati tunarudi nyumbani tukiwa njiani yule mwanafunzi hakutusogelea kabisa, aka yuko nyuma kwa mbali ana rudi nyumbani huku analia njia nzima.
Toka siku hiyo huyo mwanafunzi alibadilika kabisa, hakuwa hi tu bully tena , sasa siwezi sema ali nyanayswa ila kuna uwezekani sababu ile milio ya mle ndani kwa sasa naweza sema ilikua ni ya mtu ana bakwa na kwanini huyo mwana funzi behavior yake ili badilika ghafla ? .Kipo kisa kingine ambacho nacho nili hadithiwa na victim himself .
 
Kuna uwezekano mkubwa wakatoliki wengi walishaliwa na walimu wa komunyo Ila wame mute na kumalizia hasira zao kwa ma Haus gel.
Tena wale Alter boys sijui kama walinusurika , tena unakuta wazzi ndio wana walazimisha watoto wao wawe wana tumikia Misa hapo sasa ndio wana wa peleka kwa hao sexual predetors wenyewe huwa na wacheki tuu na sema dah, I hope Munu aliwa nusuru.
 
Na Waislam wengi wameliwa wakisoma Madrassa
Hili suala la pedophiles siola dini moja, ni sehemu zote wako hawa watu wanao vutiwa kingono na watoto so haijalishi iwe msikitini or kanisani .
Umeona juzi juzi yule Dalai Lama alivyo behave mbele ya yule mtoto , haya mambo yako kote tena kwnye familia huko nako ni balaa , utakuta ume mleta uncle nyumbani ana shinda na watoto kumbe uncle ni a pedophle , kuja stuka ni miaka kadhaa imesha pita na watoto wamesha kuwa abused vya kutosha .
 
Aisee dogo kama alikupasulia yai usifiche hi Siri inabidi akamatwe Kisha afunguliwe mashitaka na uwe Shahid namba Moja sisi tuko nyuma yako
Kama kweli ata shitakiwa mimi nita toa ushahidi huu nilio usema hapa, ajabu baba ya huyo victim ninaye mjua alikua na nafasi moja kubwa sana tena ( Nashidwa itaja hapa sababu wengi wanaijua na wanajua huyo mtoto alidhalilishwa so niki isema nafasi nitakua kama ninawakumbusha watu na huyo dogo ata anza patwa na hofu kutajwa hapa sababu now ni mtu mzima ina wezekana ana familia ) ila nafasi ambayo ingeenda solve hili tatizo kwa haraka zaidi, ila hakuna kitu kilicho fanyika kabisa.
 
Hilo swali mbona ni ndani ya somo sababu ni amri ya 6.
Vipi kama alikua anatimiza majukumu yake na alihitaji kufahamu uelewa wa watoto kama wanazielewa hizo amri za Mungu vema.

Ushahidi wa tuhuma zako ni batili so far
Kama kwelii alikua na nia ya kunifundisha kwanini aliniita peke yangu kwnye darasa na kuniuliza hilo swali ? na kwanini nilipo sema sielewi maana yake , hakuni fundisha ni nini kama ni nia ya kuni funza? .
Kuna kisa kingine cha mwenzangu mmoja yeye alicho ulizwa ndio uta choka , bora hata mimi aliniuliza hivyo , nitaweka alicho ulizwa mwenzangu na kuambiwa afanye , ndio hapo utajua huyo Mwalimu alikua so evil kwa kaisi gani .
 
Msimfiche jina lake.Huwenda ikawa anawaharibu vijana wengine,huko aliko.Lakini mkimtaja jina,wengi watajihadhari na watoto wao.
Hiyo ni kweli , maana kwa sasa sijui yuko wapi na anafanya nini , ina wezekana ana abuse more kids huko alipo, ilakumtaja ndio sina uhakika kisheria ni sahihi kwa tuhuma hizi , nilitaka wajitokeze wengine wanao jua hizi story na watuambia kama walikua abused naye na from there ndio tujue tuna fanyaje .
 
Wewe ulifanya mafundisho mwaka gani? Unamsemea katekista Abeli au Novati muimba kwaya kiboko ya masisita?
Ilikuwa 1986 na kuendelea ,alikuwa kama kibonge kiasi na alikua anavaa mkanda kama mnene hivi, alikua ana endesha pikipiki , kidogo kama na mkumbuka anataka kufanana kama na rais Mwinyi (Ali Hassan) kinamna fulani.
 
Inaonekana umechelewa kuja mtandaoni pamoja na umri kuwa umesogea mzee mweanzangu

Unachokosea unauliza kwa lengo la kuharibu sifa ya taasisi hapa hata km ni uongo maadui wataandika kila uongo kuthibitisha malengo yako

Kuwa nakini
 
Back
Top Bottom