Mwalimu Mkuu awa ombaomba mtaani baada ya kustaafu

Umeandika km unakimbizwa hebu weka details za kutosha kabisa
 
Tuma video
 
Mjini Moroto nchini Uganda huko, inahusiana nini juu ya wastaafu wa Tz na mafao yao unavyotaka kusadikisha watu?
 
Mjini Moroto nchini Uganda huko, inahusiana nini juu ya wastaafu wa Tz na mafao yao unavyotaka kusadikisha watu?
Mada inajieleza yenyewe. Ukitumia sekunde tu kuisoma kwa utulivu utaelewa.
 
Ndoo maana nasema akuna mtanzania wakujivunia na nchi yake....

Hili ungeliandika kingreza walimu duniani wangejua tz kua akuna mwalimu anafurahia kazi yake..

Basi tu kiswahili ni code language ya kudhoofisha wasio jiweza

Tujifunze lugha za kigeni maana apa wakisoma wanaona ☆%₩♤☆

Tz mpeleke mwanao shule....no way
 
Mimi ni Mwalimu. Mdomoni ni Magufuli mitano tena. Moyoni ni Mitano Tosha na mpango mzima kwa Tundu Antipas Lissu. Hii ni kwa 98 ya walimu wote. Hata vijana wetu tunawafundisha kufikiri na kukosoa sio kama ilivyo hivi sasa
 
Hatuwezi kuwapa kura vibaraka
 
Hata wewe pia umezaliwa na ujinga kutoka tumboni mwa mama yako!ivi kweli unaweza kuandika haya yote kwa ajili tu umtetee magufuli?
Kwani ukitumia pesa vizuri ndio usipewe kiinua mgongo ambayo ni haki ya kila mtanzania na nipesa zako uliotunza wewe?
Kama wanajua hawatakupa pesa zako zikusaidie wakati ukistaafu kwanini wakukate sasa?
Magufuli aondoke madarakani ameumiza familia nyingi sana.hatumtaki kabisa mabavu yote hadi kwenye mitandao ya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…