Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
huu ni ujumbe kwa wajinga tuKuwa mzalendo
Chagua Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni ujumbe kwa wajinga tuKuwa mzalendo
Chagua Magufuli
TrueAsilimia 80 ni wasimamizi wa uchaguzi wamepigwa beat wakibandika matokeo mpinzani kashinda wajiandae Ku suffer
Umeandika km unakimbizwa hebu weka details za kutosha kabisaMwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Mshahara alio kuwa analipwa alikua anaupeleka wapi. Au alikua anahonga wote. Polee yake
Tuma videoMwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Mjini Moroto nchini Uganda huko, inahusiana nini juu ya wastaafu wa Tz na mafao yao unavyotaka kusadikisha watu?Mwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Hata sisi walimu wa kwaya haturuhusiwi kumpigia kura Magufuli Sky?Kuna walimu watamchagua Magufuli kwenye uchaguzi mkuu huu.
Mmh kwaya ipi unayofundisha, karaoke?Hata sisi walimu wa kwaya haturuhusiwi kumpigia kura Magufuli Sky?
Jumuiya ndogo ndogo....huku parokiani kwetu.Mmh kwaya ipi unayofundisha, karaoke?
Umenikumbusha mbali, kwenye jumuia ndogo ndogo ikifika zamu za wenye uwezo, baada ya sala mnapigwa chai na mapocho pocho.Jumuiya ndogo ndogo....huku parokiani kwetu.
Ndoo maana nasema akuna mtanzania wakujivunia na nchi yake....Mwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
[emoji2][emoji2]Umenikumbusha mbali, kwenye jumuia ndogo ndogo ikifika zamu za wenye uwezo, baada ya sala mnapigwa chai na mapocho pocho.
Hata wa kitengo hatumtaki
Hatuwezi kuwapa kura vibarakaWatakuambia mitano tena mtaji wa CCM ulikua watu wajinga ili waendelee kutawala kimabavu na ku exploit Tanzania
ila kile kizazi hakipo, kabisa, wamebaki wachache "mabaki, au mazalia, au makapi" na ndio mana wanatumia njia zote hata kwa kuiba kura ili tu waingie madarakani, lakini tunaanza na Mungu tunamaliza na Mungu, CCM walishakufa tunasubiri kuzika tu
Jibu swali vizuri mkuu, kwa nini hakulipwa kiinua mgongo chakeAsee!
Mungu huyu.Na azidi kukupa ili uongeze dhihaka kwa maskini waliolaaniwa
Hata wewe pia umezaliwa na ujinga kutoka tumboni mwa mama yako!ivi kweli unaweza kuandika haya yote kwa ajili tu umtetee magufuli?Sikia mkuu, hata kama pesa unayopata ni ndogo. Ukiitumia vizuri huwezi kuwa maskini. Shida ya wanaume tunajisahau mnoo tunagawa pesa zetu kwa wanawake. Right kama huyo mzee angeijenga familia yake vizuri kwa kutumia hizo pesa Leo asingeomba. Acha kuhonga tumia pesa yako vizuri. Saidia ndugu zako, Mungu atakuongezea zaidi.