Mwalimu Mkuu shule ya msingi Mavovo Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga ana tabia mbovu, hafai kuwa mtumishi

Mwalimu Mkuu shule ya msingi Mavovo Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga ana tabia mbovu, hafai kuwa mtumishi

Umemshindwa Kwa waganga umeona ujaribu kumchafua na mtandaoni. Mungu anakuona.

Tanzania ya Sasa Kweli wazazi wenye wanafunzi wa shule ya msingi watoto wao wanabakwa Na mwalimu halafu wazazi wasijue Mahali pa kushitaki. Kweli?
 
Tanga hakujatulia, mara mashambuluzi CWT, mara maafisa Elimu, mara DED, leo HT
 
Watumishi wa halmashauri za wilaya za mkoa was Tanga wapo nyuma Kwa Kila jambo. Yaani siyo tanesco siyo NIDA au RITA. Kielimu wapo nyuma Yani hakuna kitu Tanga
Umenigusa nenda pale NHIF tanga, utalia no ushirikiano
 
Mambo mengine yanatia aibu kwa waafrika,yaani Mwalimu wa msingi anasumbua,wazazi na wanafunzi!

mnamuangalia tu!!mtieni bakola,aende akashitaki polisi,huyu inabidi mmalizane nae kimya kimya!!sio kumuachia Mungu,
 
Mtafute ummy mwalimu Instagram umwambie hayo malalamiko yko atakusaidia maana ndio kwao huko.
 
Umemshindwa Kwa waganga umeona ujaribu kumchafua na mtandaoni. Mungu anakuona.

Tanzania ya Sasa Kweli wazazi wenye wanafunzi wa shule ya msingi watoto wao wanabakwa Na mwalimu halafu wazazi wasijue Mahali pa kushitaki. Kweli?
Boss mm sihusiki na huo mkoa bali hutembea na kuchunguza,kuhoji,na kujaribu kusaidia wananchi mbalimbali wa Tanzania wasiokuwa na elimu ama ujuzi wa kujua wap wanaweza kupata msaada ama ushauri wa kutatua matatizo makubwa yanayowakabili.Kumbuka kuna watu wako vijijin sana hawajui hata kusimamia haki zao
 
Angalieni na watoto wanao zaliwa hapo....

Mtalea na watoto wake bila kujua.. ..
 
Shule ya msingi Mavovo ipo mkoani Tanga wilaya ya Mkinga.Mwalimu mkuu aliyepo sasa anaitwa Salim Rashid huyu mwalimu ni mshenzi na hafai kuwa mtumishi wa serikali.

Ni mlevi wa kupindukia,shule ameifanya kama nyumba yake,anawadhalilisha wanafunzi mpaka wazazi,mwisho huita kikao na kuwaomba msamaha eti alipitiwa na alikuwa amelewa.

Uchunguzi unaonyesha hata anawatumia wanafunzi kingono kwa kuyatumia madaraka aliyonayo,na kutokana na wazaz hawa kutokuwa na uwezo wa kujua wapeleke wapi malalamiko yao ili wasaidiwe mambo yanaisha kienyeji.

Huu ni ukweli halisi,wazazi tunaomba wakuu wanaohusika na idara ya elimu wachunguze mambo haya na wawasaidie watoto wetu.

Ushirikiano utapatikana

Nimeandika haya kuwawakilisha wazazi na wanafunzi ambao wamekosa wa kuwasemea ila wako tayari kutoa ushirikiano

Asante

Nawakilisha.
Sawa mwalimu . Malalamiko yako yamepokelewa na mamlaka za jf !!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sio Mwalimu wala mtumishi WA serikali wakuu Bali nimepata kusikia malalamiko haya kutoka Kwa wanafunz wanaotendewa vibaya na Mwalimu huyo nikaona niwashirikishe hapa huenda watu wa idara husika wakaona na kwenda huko kuyafanyia uchunguzi na wakawasaidia wazazi na wanafunz hawa.

je ni Bora ningekaa kimya ama Bora uamuzi WA kuyasema maovu yenye uhakika yatatuliwe?tusifuge watumishi wanaoharibu taswira ya elimu yetu na watoto wetu wakuu.
 
Boss mm sihusiki na huo mkoa bali hutembea na kuchunguza,kuhoji,na kujaribu kusaidia wananchi mbalimbali wa Tanzania wasiokuwa na elimu ama ujuzi wa kujua wap wanaweza kupata msaada ama ushauri wa kutatua matatizo makubwa yanayowakabili.Kumbuka kuna watu wako vijijin sana hawajui hata kusimamia haki zao
JF haijwahi kufikia kudeal na mambo ya shule ya msingi. Hakuna hata afisa elimu Kata? Mtendaji Kata? Katibu tarafa? Achilia mbali DEO?
 
Boss mm sihusiki na huo mkoa bali hutembea na kuchunguza,kuhoji,na kujaribu kusaidia wananchi mbalimbali wa Tanzania wasiokuwa na elimu ama ujuzi wa kujua wap wanaweza kupata msaada ama ushauri wa kutatua matatizo makubwa yanayowakabili.Kumbuka kuna watu wako vijijin sana hawajui hata kusimamia haki zao
Umewasaidia wangapi wewe acha kujikosha na kudanganya watu hapa. Kwanza kwenye kigari chako mbona unatunyima lift.
 
Shule ya msingi Mavovo ipo mkoani Tanga wilaya ya Mkinga.Mwalimu mkuu aliyepo sasa anaitwa Salim Rashid huyu mwalimu ni mshenzi na hafai kuwa mtumishi wa Serikali.

Ni mlevi wa kupindukia, shule ameifanya kama nyumba yake,anawadhalilisha wanafunzi mpaka wazazi,mwisho huita kikao na kuwaomba msamaha eti alipitiwa na alikuwa amelewa.

Uchunguzi unaonyesha hata anawatumia wanafunzi kingono kwa kuyatumia madaraka aliyonayo,na kutokana na wazaz hawa kutokuwa na uwezo wa kujua wapeleke wapi malalamiko yao ili wasaidiwe mambo yanaisha kienyeji.

Huu ni ukweli halisi,wazazi tunaomba wakuu wanaohusika na idara ya elimu wachunguze mambo haya na wawasaidie watoto wetu.

Ushirikiano utapatikana

Nimeandika haya kuwawakilisha wazazi na wanafunzi ambao wamekosa wa kuwasemea ila wako tayari kutoa ushirikiano

Asante

Nawakilisha.
Acha umbea we mpumbav.u
 
Mimi sio Mwalimu wala mtumishi WA serikali wakuu Bali nimepata kusikia malalamiko haya kutoka Kwa wanafunz wanaotendewa vibaya na Mwalimu huyo nikaona niwashirikishe hapa huenda watu wa idara husika wakaona na kwenda huko kuyafanyia uchunguzi na wakawasaidia wazazi na wanafunz hawa.je ni Bora ningekaa kimya ama Bora uamuzi WA kuyasema maovu yenye uhakika yatatuliwe?tusifuge watumishi wanaoharibu taswira ya elimu yetu na watoto wetu wakuu.
Mamlaka husika huzijui?
 
Back
Top Bottom