Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapicha ka udhalilishajiShule ya msingi Mavovo ipo mkoani Tanga wilaya ya Mkinga.Mwalimu mkuu aliyepo sasa anaitwa Salim Rashid huyu mwalimu ni mshenzi na hafai kuwa mtumishi wa Serikali.
Ni mlevi wa kupindukia, shule ameifanya kama nyumba yake,anawadhalilisha wanafunzi mpaka wazazi,mwisho huita kikao na kuwaomba msamaha eti alipitiwa na alikuwa amelewa.
Uchunguzi unaonyesha hata anawatumia wanafunzi kingono kwa kuyatumia madaraka aliyonayo,na kutokana na wazaz hawa kutokuwa na uwezo wa kujua wapeleke wapi malalamiko yao ili wasaidiwe mambo yanaisha kienyeji.
Huu ni ukweli halisi,wazazi tunaomba wakuu wanaohusika na idara ya elimu wachunguze mambo haya na wawasaidie watoto wetu.
Ushirikiano utapatikana
Nimeandika haya kuwawakilisha wazazi na wanafunzi ambao wamekosa wa kuwasemea ila wako tayari kutoa ushirikiano
Asante
Nawakilisha.
Wewe utakuwa ni Mwl WA hiyo shule,vijihela vya madaraka anavyopewa mkuu wako usivionee wivu
Kama Mwl anashida kwanini msiseme kwenye ngazi husika
Acha umbea na ushakunaku
...Poleni. Kwa hiyo Wazazi hawawezi hata kuitisha kikao tu cha kumhukumu??Shule ya msingi Mavovo ipo mkoani Tanga wilaya ya Mkinga.Mwalimu mkuu aliyepo sasa anaitwa Salim Rashid huyu mwalimu ni mshenzi na hafai kuwa mtumishi wa Serikali.
Ni mlevi wa kupindukia, shule ameifanya kama nyumba yake,anawadhalilisha wanafunzi mpaka wazazi,mwisho huita kikao na kuwaomba msamaha eti alipitiwa na alikuwa amelewa.
Uchunguzi unaonyesha hata anawatumia wanafunzi kingono kwa kuyatumia madaraka aliyonayo,na kutokana na wazaz hawa kutokuwa na uwezo wa kujua wapeleke wapi malalamiko yao ili wasaidiwe mambo yanaisha kienyeji.
Huu ni ukweli halisi,wazazi tunaomba wakuu wanaohusika na idara ya elimu wachunguze mambo haya na wawasaidie watoto wetu.
Ushirikiano utapatikana
Nimeandika haya kuwawakilisha wazazi na wanafunzi ambao wamekosa wa kuwasemea ila wako tayari kutoa ushirikiano
Asante
Nawakilisha.
...Kwa hiyo wewe ulishindwa kuwapa ushauri wowote... Mpaka uishirikishe JF??Mimi sio Mwalimu wala mtumishi WA serikali wakuu Bali nimepata kusikia malalamiko haya kutoka Kwa wanafunz wanaotendewa vibaya na Mwalimu huyo nikaona niwashirikishe hapa huenda watu wa idara husika wakaona na kwenda huko kuyafanyia uchunguzi na wakawasaidia wazazi na wanafunz hawa.je ni Bora ningekaa kimya ama Bora uamuzi WA kuyasema maovu yenye uhakika yatatuliwe?tusifuge watumishi wanaoharibu taswira ya elimu yetu na watoto wetu wakuu.
Watakushukia wenzie kama vipanga mkushi mbishi umejiandaa kisaikolojia????Shule ya msingi Mavovo ipo mkoani Tanga wilaya ya Mkinga.Mwalimu mkuu aliyepo sasa anaitwa Salim Rashid huyu mwalimu ni mshenzi na hafai kuwa mtumishi wa Serikali.
Ni mlevi wa kupindukia, shule ameifanya kama nyumba yake,anawadhalilisha wanafunzi mpaka wazazi,mwisho huita kikao na kuwaomba msamaha eti alipitiwa na alikuwa amelewa.
Uchunguzi unaonyesha hata anawatumia wanafunzi kingono kwa kuyatumia madaraka aliyonayo,na kutokana na wazaz hawa kutokuwa na uwezo wa kujua wapeleke wapi malalamiko yao ili wasaidiwe mambo yanaisha kienyeji.
Huu ni ukweli halisi,wazazi tunaomba wakuu wanaohusika na idara ya elimu wachunguze mambo haya na wawasaidie watoto wetu.
Ushirikiano utapatikana
Nimeandika haya kuwawakilisha wazazi na wanafunzi ambao wamekosa wa kuwasemea ila wako tayari kutoa ushirikiano
Asante
Nawakilisha.
Kama unazunguka kusaidia watu mbona hujui sehemu sahihi kufikisha haya majungu yako?Boss mm sihusiki na huo mkoa bali hutembea na kuchunguza,kuhoji,na kujaribu kusaidia wananchi mbalimbali wa Tanzania wasiokuwa na elimu ama ujuzi wa kujua wap wanaweza kupata msaada ama ushauri wa kutatua matatizo makubwa yanayowakabili.Kumbuka kuna watu wako vijijin sana hawajui hata kusimamia haki zao