KutangazaLengo la kualikwa ni lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KutangazaLengo la kualikwa ni lipi?
Ulivyo ndivyo Jamii inakutafsiri.Huu ni unyanyapaa kwanini asialikwe? Nani mtakatifu humu hata hao wanaojistiri ukiwafatilia ni wachafu kuliko maelezo
Ukisikia akili za kenge basi unazo wewe.Huu ni unyanyapaa kwanini asialikwe? Nani mtakatifu humu hata hao wanaojistiri ukiwafatilia ni wachafu kuliko maelezo
hukumunya kimahaka haindoi consequences za kijamii! ukiwa mwizi ukakamatwa ukatuwa hatiani ukatumikia adhabu ukatoka haikufanyi jamii ikuaminintena utabaki ni mwizi na uangaliwe kwa umakini mno!Amber Rutty alikwisha hukumiwa na mahakama na kutumikia adhabu yake. Kuendelea kumuhukumu kwa makosa ambayo alisha adhibiwa nayo ni kumblack mail na kuingilia haki zake zilizopo kisheria.
Role model 😁Hii nchi raha sana. Sasa alikuwa anakwenda kuzungumza nao nini?
🤣🤣🤣🤣🤣Tena na yeye anasikitika kabisa. Ukute teacher alishaangalia sana biriani la Amber Rutty alitaka ajiridhishe kwa karibu.Dah ila nchi yetu hadi amber rutty wakuwasilishiwa kero za wananchi?
YoteTuwe Na ubinadamu bc kosa ni mavazi au kumwalika ambaruti?
Fine, you might be right, a father is not expected not to tune on porn channel in front of you kids on the pretex that after all, they are accessing them somewhere else!Basi tatizo si amber kama watoto waliweza kuziona video zake. Sababu video za ovyo zipo nyingi ikiwamo ya amver. Tatizo ni mtoto kama aliweza kuona za amber basi na video za wengineo wengi maarufu na wasio maarufu zilizo mitandaoni watoto wanaziona.
Sasa huyu mzinzi ana kipi cha kuwafundisha watoto...unataka kizazi kirithi maushetani yake.Tuwe Na ubinadamu bc kosa ni mavazi au kumwalika ambaruti?
Kweli kabisaHuu ni unyanyapaa kwanini asialikwe? Nani mtakatifu humu hata hao wanaojistiri ukiwafatilia ni wachafu kuliko maelezo
Pale wako darasani au ukuta unatakiwa ujengwe?Wanafunz wanajifunza nn kwa mtu km huyo. Ana maadili gani.