cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Sio wivu ila nimeshangaa mkuu wa shule kuwa na akili ndogo nakuwasilisha mambo serious kwa amberruttyNi wivu tu![emoji276]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wivu ila nimeshangaa mkuu wa shule kuwa na akili ndogo nakuwasilisha mambo serious kwa amberruttyNi wivu tu![emoji276]
Kweli kabisaNchi ya wanaoona sifa kuitwa 'wanyonge'
MmhUongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umeeleza kuchukizwa kwake na kitendo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nzasa kumualika Amber Rutty kama Mgeni rasmi na kuongea na Wanafunzi.
Pia soma > Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua
Uongozi wa Manispaa ya Temeke umesema haya
“Kumekua na taarifa zinazosambaa kupitia kipande cha video mitandaoni zikimuonesha Mtu mmoja akitembelea Shule ya Msingi Nzasa iliyopo Temeke, akiwa amevaa mavazi yaliyo kinyume na maadili ya Kitanzania”
“Tunapenda kutoa taarifa kwamba uongozi wa Manispaa ya Temeke umechukizwa na ugeni huo, umemuonya Mkuu wa Shule kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma kutokana na kitendo kilichotokea na Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza”
[emoji2][emoji2][emoji2]Dah ila nchi yetu hadi amber rutty wakuwasilishiwa kero za wananchi?
kosa ni kumualika mtu aliye liwa tigo in publicTuwe Na ubinadamu bc kosa ni mavazi au kumwalika ambaruti?
asingealikwa tusingejua shida yaokosa ni kumualika mtu aliye liwa tigo in public
😆😆 tafuta utaipataVideo yenyewe ikwapi
VyoteTuwe Na ubinadamu bc kosa ni mavazi au kumwalika ambaruti?
kwa iyo hao watoto wanajua hana malinda na alishawahi sukumiwa?Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umeeleza kuchukizwa kwake na kitendo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nzasa kumualika Amber Rutty kama Mgeni rasmi na kuongea na Wanafunzi.
Pia soma > Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua
Uongozi wa Manispaa ya Temeke umesema haya
“Kumekua na taarifa zinazosambaa kupitia kipande cha video mitandaoni zikimuonesha Mtu mmoja akitembelea Shule ya Msingi Nzasa iliyopo Temeke, akiwa amevaa mavazi yaliyo kinyume na maadili ya Kitanzania”
“Tunapenda kutoa taarifa kwamba uongozi wa Manispaa ya Temeke umechukizwa na ugeni huo, umemuonya Mkuu wa Shule kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma kutokana na kitendo kilichotokea na Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza”
Basi tatizo si amber kama watoto waliweza kuziona video zake. Sababu video za ovyo zipo nyingi ikiwamo ya amver. Tatizo ni mtoto kama aliweza kuona za amber basi na video za wengineo wengi maarufu na wasio maarufu zilizo mitandaoni watoto wanaziona.Take note walivyomshangilia! Kuna kitu wanakijua kwake as it was open to the whole world at large that she has been sodomizing with her boyfriend.