This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Wanafunz wanajifunza nn kwa mtu km huyo. Ana maadili gani.naona kosa ni mavazi. kumualika sioni tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafunz wanajifunza nn kwa mtu km huyo. Ana maadili gani.naona kosa ni mavazi. kumualika sioni tatizo
Mara nyingi wenye kazi hawaoni umuhimu wa kuitunza. but one day Joblessness will teach them how to do thingsKuna watu wamechoka kazi
Fine, aje amuone mtoto, siyo kuwakusanya watoto kuongea naoWanadai kuwa mwanae anasoma hapo.
Pia mavazi anayoenda nayo yanatakiwa yawe ya heshima.Fine, aje amuone mtoto, siyo kuwakusanya watoto kuongea nao
Wamuige tabia yake ya kupenda back doorNinyi watu wa dar mtuambie ,tofauti ya hawa amba wawili ni nink? Je ! Yule aliyeshtakiwa kwa kosa la kimaadili ni yupi? Kama.ndio huyo na hivyo vitoto vya mujini vinajua kilichompa umaarufu huyo mwalimu anawaletea remodel gani wamuige kwa tabia gani?
sawa sawa kabisa.Pia mavazi anayoenda nayo yanatakiwa yawe ya heshima.
Gwajima video zake zipo lakini leo ni mbunge.Nchi hii iache kukombatia watu wa ajabajab
Mtu kaonekana anamegwa video zipo
Eti kesho anateuliwa balozi wa makampuni
Ova
Dah, kumbe ni mtatuzi wa kero za walimu, dunia hiiiKusikiliza kero za walimu, hujasikia kurushiwa mayai viza? [emoji276]
Tatizo sio hilo, soma tena habari na angalia video uone vazi la madam mualikwa katika mazingira ya shule yenye watoto chini ya miaka 18.Huu ni unyanyapaa kwanini asialikwe? Nani mtakatifu humu hata hao wanaojistiri ukiwafatilia ni wachafu kuliko maelezo
Can you imagine? Huyu ataonge nini kwa watoto kama wale? Nchi ya laana
Take note walivyomshangilia! Kuna kitu wanakijua kwake as it was open to the whole world at large that she has been sodomizing with her boyfriend.Watoto hawatumii mitandao, hawajui unayowaza wewe kumhusu.