kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Stars amewahi kumfunga mtu 5Kwenye zile 5
Alihusika kwenye magoli mangapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stars amewahi kumfunga mtu 5Kwenye zile 5
Alihusika kwenye magoli mangapi
Kwani timu lako kolo fc ni starsStars amewahi kumfunga mtu 5
Hapa tupo kwenye kuzungumzia mchezo wa leo wa stars ila ukitaka mjadalaxwa supu fc na simba ni trh 19Kwani timu lako kolo fc ni stars
Wewe nitakuponda kichwaHapa tupo kwenye kuzungumzia mchezo wa leo wa stars ila ukitaka mjadalaxwa supu fc na simba ni trh 19
Sawa lakini leo moroko atuwekee saaduni ngiri hapana!Wewe nitakuponda kichwa
Popote utakapojibanza kupata faraja
Wewe ni kolo
Trh 19 unakula mkono
Huyo haicheziSawa lakini leo moroko atuwekee saaduni ngiri hapana!
Akianza ni vyema asiutie kunyavu tu!Huyo haichezi
laZima striker la Dunia, drogba jr aanze
Akitumia jua ni bahati mbaya na ni sehemu ya mchezoAkianza ni vyema asiutie kunyavu tu!
Bahati mbaya au ball control chumba kizima!Akitumia jua ni bahati mbaya na ni sehemu ya mchezo
Muulize che malonBahati mbaya au ball control chumba kizima!
Si kweli kwani stars imecheza na cameroun si ilifungwa goli 1 bila mfungaji ni mzize!Muulize che malon
Ndo anamjua vizuri
Che malon akiwa SimbaSi kweli kwani stars imecheza na cameroun si ilifungwa goli 1 bila mfungaji ni mzize!
Mbona yupo tu vizuri? Match iliyopita si alifung goli? Issue Leo anatakiwa afunge goli sahihiMwalimu Moroko anza na Saaduni kwenye first eleven yako utanishukuru jamaa ni striker mwenye uwezo anajua mpira hakimbii tu kama ngiri uwanjani mbio zake zote za malengo weka nje mzize leo utanishukuru popote nilipo jamaa ana miguu ya dhahabu sema tu tatizo hayupo timu za matapeli kariakoo ndio maana haimbwi!
Kombe la akina mama ni kombe gani hilo dogo?Wale wakwenu wanaoshiriki kombe la akina mama hakuna striker?
Umeandika vyema bila ya chembe ya unafiki!Huyo jamaa akiwa na mpira utampenda kwani hapokonywi kirahisi Mzize siku ile alikuwa Kama Saidoo Kila Mara kuanguka Kama wydad walikuwa wanaangalia mpira wangeshukuru yanga kutowauzia Mzize.
Wewe jamaa unajua jinsi ya kuuma na kupuliza!Mbona yupo tu vizuri? Match iliyopita si alifung goli? Issue Leo anatakiwa afunge goli sahihi
MImi sio simba ila unalazimisha nikupe kumbukumbu wakati Emanuel Okwi na kaseja wanaidhaliliaha supu ya makongoro fc (yanga) goli 5 -1 ulikuwa wapi ushamba mnajizima data!Che malon akiwa Simba
5
Ilikuwa 5-0MImi sio simba ila unalazimisha nikupe kumbukumbu wakati Emanuel Okwi na kaseja wanaidhaliliaha supu ya makongoro fc (yanga) goli 5 -1 ulikuwa wapi ushamba mnajizima data!