Mwalimu Moroko anza na Saaduni leo hata kama umeshapanga listi pangua mzize weka nje!

Hapa tupo kwenye kuzungumzia mchezo wa leo wa stars ila ukitaka mjadalaxwa supu fc na simba ni trh 19
Wewe nitakuponda kichwa
Popote utakapojibanza kupata faraja
Wewe ni kolo
Trh 19 unakula mkono
 
Huyo jamaa akiwa na mpira utampenda kwani hapokonywi kirahisi Mzize siku ile alikuwa Kama Saidoo Kila Mara kuanguka Kama wydad walikuwa wanaangalia mpira wangeshukuru yanga kutowauzia Mzize.
 
Mbona yupo tu vizuri? Match iliyopita si alifung goli? Issue Leo anatakiwa afunge goli sahihi
 
Che malon akiwa Simba
5
MImi sio simba ila unalazimisha nikupe kumbukumbu wakati Emanuel Okwi na kaseja wanaidhaliliaha supu ya makongoro fc (yanga) goli 5 -1 ulikuwa wapi ushamba mnajizima data!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…