Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Ni wakike mkuu....🙄Ni wa kike au kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wakike mkuu....🙄Ni wa kike au kiume
Hongera umekuwa mtumishi mwemaNi wakike mkuu....🙄
Aisee mwalimu wa primary ndiyo unatakiwa kumheshimu kweli kweli. Maana hata huu uwezo tu wa kusoma na kuandika humu jukwaani, ni matunda yake.HUYU NI WEWE UMEANDIKA.
HALAFU MWALIMU MZIMA UNA MUANDIKO MBAYA HIVI?[emoji23][emoji23]
HALAFU NILIJUA WEWE NI MWALIMU WA SEKONDARI KIDGO NKUHESHIMU ILA KUMBE WEWE NI MWALIMU WA PRIMARY
[emoji23][emoji23][emoji23]
HOVYOOOO
Aisee mwalimu wa primary ndiyo unatakiwa kumheshimu kweli kweli. Maana hata huu uwezo tu wa kusoma na kuandika humu jukwaani, ni matunda yake.
watoto wake wanasoma UgandaSio kuwa mwalimu wa primary ndio ana stahil heshima zaid?
Waalimu tuwaheshim guys, wanaish maisha duni sana lakin wana moyo sana kutufundishia watoto wetu
Wanafunzi hukumbana na vitu wasivyo vijua aiseeKwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuwatoa watoto wetu ujinga,mwanafunzi wake mmoja huko mikoa ya kusini ameona amkumbuke Kwa njia hii
Mwanafunzi huyo ambaye ameajiriwa mwaka huu hapa Katavi wilaya ya Tanganyika ameamua kulitaja jina la mwalimu huyu nguri/nguli katika moja ya maswali yake
Mwalimu aheshimiwe popote na kila mtu,
View attachment 2679748
Mwalimu ni mungu wa tatu duniani
Aahaaaaa,kwanini mkuuWanafunzi hukumbana na vitu wasivyo vijua aisee
Bisha kwa hoja. Haya ma rubbish yanatokea wapi tena!!Rubbish
Mkodomi vipi tena,mbona hasira asubuhi asubuhi!?Rubbish
Mkodomi vipi tena,mbona hasira asubuhi asubuhi!?
Sasa kwa mfano ningekuwa mwanafunzi nakutana na hilo jina mbona ningecheka kwa sauti kuu pale darasaniAahaaaaa,kwanini mkuu
Basi ndio maana.Ila hawa watu acha tu tuwaheshimu.Na kitu ambacho mwenyez Mungu kawapa kama zawadi, ni kuishi muda mrefu bila kuzeeka.Ndio nimegundua hicho.walimu wanaishi aisee!!watoto wake wanasoma Uganda
Aahaaaaa,jina Kama mitishamba vile dahSasa kwa mfano ningekuwa mwanafunzi nakutana na hilo jina mbona ningecheka kwa sauti kuu pale darasani
Mungu anawafidia muda walioutumia kuwatoa ujinga watanzaniaBasi ndio maana.Ila hawa watu acha tu tuwaheshimu.Na kitu ambacho mwenyez Mungu kawapa kama zawadi, ni kuishi muda mrefu bila kuzeeka.Ndio nimegundua hicho.walimu wanaishi aisee!!
Mpwayungu ni kakijiji huku Dodoma kama unaenda Iringa karibu na Mpunguzi (kwa akina Ben Pol)Kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuwatoa watoto wetu ujinga,mwanafunzi wake mmoja huko mikoa ya kusini ameona amkumbuke Kwa njia hii
Mwanafunzi huyo ambaye ameajiriwa mwaka huu hapa Katavi wilaya ya Tanganyika ameamua kulitaja jina la mwalimu huyu nguri/nguli katika moja ya maswali yake
Mwalimu aheshimiwe popote na kila mtu,
View attachment 2679748
Mwalimu ni mungu wa tatu duniani
Msamehe bure,ushamba ukiisha atastaarabikaMpwayungu ni kakijiji huku Dodoma kama unaenda Iringa karibu na MPUNGUZI
Huyu jamaa ni waporini kinyama namshangaaga anapowaponda walimu
Charity begins at home.Charity begin at home,you know
Asante Kwa masahihisho mkuuCharity begins at home.
Usimjari shemeji yangu,ndo kawaida yake huyoMwalimu Mpwayungu Village unajifanya hujauona huu uzi? Unapita kimya kimya