Mwalimu Mpwayungu Village aishi milele

HUYU NI WEWE UMEANDIKA.

HALAFU MWALIMU MZIMA UNA MUANDIKO MBAYA HIVI?[emoji23][emoji23]

HALAFU NILIJUA WEWE NI MWALIMU WA SEKONDARI KIDGO NKUHESHIMU ILA KUMBE WEWE NI MWALIMU WA PRIMARY

[emoji23][emoji23][emoji23]

HOVYOOOO
Aisee mwalimu wa primary ndiyo unatakiwa kumheshimu kweli kweli. Maana hata huu uwezo tu wa kusoma na kuandika humu jukwaani, ni matunda yake.
 
Wanafunzi hukumbana na vitu wasivyo vijua aisee
 
Basi ndio maana.Ila hawa watu acha tu tuwaheshimu.Na kitu ambacho mwenyez Mungu kawapa kama zawadi, ni kuishi muda mrefu bila kuzeeka.Ndio nimegundua hicho.walimu wanaishi aisee!!
Mungu anawafidia muda walioutumia kuwatoa ujinga watanzania
 
Mpwayungu ni kakijiji huku Dodoma kama unaenda Iringa karibu na Mpunguzi (kwa akina Ben Pol)

Huyu jamaa ni waporini kinyama namshangaaga anapowaponda walimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…