Kapombe Mzava,Mutabuzi,kimasiya,kliton,mc Master nkBila kumsahau Mzee Kwayu Andrew ambaye amehudumu pia shule hiyo na Azania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapombe Mzava,Mutabuzi,kimasiya,kliton,mc Master nkBila kumsahau Mzee Kwayu Andrew ambaye amehudumu pia shule hiyo na Azania
Ofcoz Mee Kwayu naye apewe maua yake. Ni mtu understanding sana..Bila kumsahau Mzee Kwayu Andrew ambaye amehudumu pia shule hiyo na Azania
Wengi ni uwezo binafsi na sio shule pekee, kuna factors nyingi zinazoweza kumfanya mtu awe na uwezo na sio shule/chuo pekee.Mkuu Mmanyanigho,
Hapa mnaongea Lugha tofauti.
Wewe unasema “ wengi ni uwezo binafsi tu” lakini si “wote”
Yeye anasema “uwezo wa mtu hautokani na shule mtu aliyosoma Bali ni uwezo binafsi”
Yeye ametoa hitimisho la kwamba wote wenye uwezo hawatokani na shule walizosoma ila wewe umesema wengi ni uwezo binafsi.
Kuna tofauti kati ya “wengi” na “wote”
Mfano;
Maraisi wote marekani walikaa ikulu ( White House)
George Washington alikuwa raisi wa Marekani
George Washington aliishi ikulu (conclusion)
Mfano huo hapo juu ni uongo kutokana na kauli kuu ya kwanza , sababu John Adams ndio alikuwa raisi wa kwanza kuishi ikulu. Hivyo inafanya kauli kukosa ukweli.
Mimi binafsi ninasema shule ilini- shape kwa kiasi kikubwa.
Mpaka mtu anakuja kufika hiyo ilboru kwa miaka ile ina maana huyo ni kipanga tayari.Nchi yetu Ina watu wanauelewa Mdogo sana wa mambo.
Mm nlimskia tu kitemango ,nlikuta ana miaka kama 4 tangu aondoke hapo ilboruHivi kitemango mlimkuta?
Very good man Mzee kwayu,,baada ya kwayu alikua muhaya mmoja mtata sana ,akaharibu mpaka tukaomba maandamano ,Majaliwa kasim akiwa naibu wazir tamisemi ndo alituokoa ,Majaliwa udumu sana ww ni mtu na nusu ,,,Ofcoz Mee Kwayu naye apewe maua yake. Ni mtu understanding sana..
Masomo ya sayansi na Sanaa magumu zaidi ni yapi? Kwangu ukisema mtu wa sayansi ana akili ninakuelewa, hakuna blaa blaaa. Arts washindane wao kwa wao.J.J Shulla. Wakati Ilboru Alumni tunaenda kufanya Donation 2016 tulimkuta huyu Mwalimu.
Kuzidiwa kufanya nn? Musukuma unaweza ukamuweka kwenye mdahalo una husisha uchumi au Sheria za Nchi ? Msukuma mpe mada za JPM ajengewe sanamu ,au hoja ya Mbowe mashamba yake yachukuliwe au labda ccm isitoe wabunge darasa la Saba kwenye Bunge,,🔹Kwani alikuwa anafundusha soma gani?
🔹 Kwanza kati ya shule ambazo waalimu walijichukulia ujiko wa bure ni ilboru. Walikuwa hawafundishi ni wanafunzi wenyewe wanajiongeza
🔹Pili hapo kwenye hiyo list hakuna aliyetoboa ambaye anaweza ku compete kwenye level za kimataifa. Bado wanajitafuta sawa . Wamezidiwa na darasa la saba B akina musukuma, tabasamu na kishimba. Huna hoja
KUNA MWAMBA PALE UDSM ANAITWA PRIF MOSHA WA HESABU SIJUI MA.A YUKO HAJ NA ULIKUWA USHAZALIWA HATAREE..NANUSUKwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa
“
Tundu Antiphas Lissu
@TunduALissu
Follow
At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”
View attachment 2989040
View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047
View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050
Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
Akiliza kukreamKwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa
“
Tundu Antiphas Lissu
@TunduALissu
Follow
At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”
View attachment 2989040
View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047
View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050
Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
Wewe kariri maugoro ya principle za uchumi za kizungu , na latin maxim za sheria uone kama utafikia utajiri wa musukuma. Hiyo midahalo inasaidia nini wakati umeshindwa kuotumia kutengeneza Pesa?Kuzidiwa kufanya nn? Musukuma unaweza ukamuweka kwenye mdahalo una husisha uchumi au Sheria za Nchi ? Msukuma mpe mada za JPM ajengewe sanamu ,au hoja ya Mbowe mashamba yake yachukuliwe au labda ccm isitoe wabunge darasa la Saba kwenye Bunge,,
Mbona Mimi hujaweka picha yangu mkuu?
Hao alumni wa Ilboru wamebadilisha maisha ya Nani?Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa
“
Tundu Antiphas Lissu
@TunduALissu
Follow
At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”
View attachment 2989040
View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047
View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050
Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
MutabuziVery good man Mzee kwayu,,baada ya kwayu alikua muhaya mmoja mtata sana ,akaharibu mpaka tukaomba maandamano ,Majaliwa kasim akiwa naibu wazir tamisemi ndo alituokoa ,Majaliwa udumu sana ww ni mtu na nusu ,,,
Hapana mkuu mimi nimesoma pale enzi za Mwalimu , wakati huo hapakuwa na kitu kinaitwa talentedalipelekewa wanafunzi talented na wenye uwezo mkubwa.
Nothing else.
Hao alumni wa Ilboru wamebadilisha maisha ya Nani?