Mwalimu Mushi wa Ilboru apewe maua yake “Nishani ya kitaifa”

Mwalimu Mushi wa Ilboru apewe maua yake “Nishani ya kitaifa”

Kwa sahivi watu aina hiyo hata hawatambuliki we waambie wakina dotto magari,baba level mwijaku ggy money
Na wasanii wakata mauno

Ova
 
Mkuu Mmanyanigho,

Hapa mnaongea Lugha tofauti.

Wewe unasema “ wengi ni uwezo binafsi tu” lakini si “wote”

Yeye anasema “uwezo wa mtu hautokani na shule mtu aliyosoma Bali ni uwezo binafsi”
Yeye ametoa hitimisho la kwamba wote wenye uwezo hawatokani na shule walizosoma ila wewe umesema wengi ni uwezo binafsi.

Kuna tofauti kati ya “wengi” na “wote”

Mfano;

Maraisi wote marekani walikaa ikulu ( White House)

George Washington alikuwa raisi wa Marekani

George Washington aliishi ikulu (conclusion)

Mfano huo hapo juu ni uongo kutokana na kauli kuu ya kwanza , sababu John Adams ndio alikuwa raisi wa kwanza kuishi ikulu. Hivyo inafanya kauli kukosa ukweli.

Mimi binafsi ninasema shule ilini- shape kwa kiasi kikubwa.
Wengi ni uwezo binafsi na sio shule pekee, kuna factors nyingi zinazoweza kumfanya mtu awe na uwezo na sio shule/chuo pekee.

Ila kiurahisi wengi mnaconclude kua ni shule pekee.
 
Nchi yetu Ina watu wanauelewa Mdogo sana wa mambo.
Mpaka mtu anakuja kufika hiyo ilboru kwa miaka ile ina maana huyo ni kipanga tayari.

Kuna ndgu yangu nae alisoma hapo, tangu primary jamaa ni kichwa na anapenda kujisomea.
Akapiga ilboru form 1 mpaka 4, akaenda shule nyingine mkoa mwingine, huko akawa anaongoza kila mtihani wa mkoa huo, alikua PCB.
Je mtu huyu utasema ni zao la Ilboru??
 
Ofcoz Mee Kwayu naye apewe maua yake. Ni mtu understanding sana..
Very good man Mzee kwayu,,baada ya kwayu alikua muhaya mmoja mtata sana ,akaharibu mpaka tukaomba maandamano ,Majaliwa kasim akiwa naibu wazir tamisemi ndo alituokoa ,Majaliwa udumu sana ww ni mtu na nusu ,,,
 
J.J Shulla. Wakati Ilboru Alumni tunaenda kufanya Donation 2016 tulimkuta huyu Mwalimu.
Masomo ya sayansi na Sanaa magumu zaidi ni yapi? Kwangu ukisema mtu wa sayansi ana akili ninakuelewa, hakuna blaa blaaa. Arts washindane wao kwa wao.
 
🔹Kwani alikuwa anafundusha soma gani?

🔹 Kwanza kati ya shule ambazo waalimu walijichukulia ujiko wa bure ni ilboru. Walikuwa hawafundishi ni wanafunzi wenyewe wanajiongeza

🔹Pili hapo kwenye hiyo list hakuna aliyetoboa ambaye anaweza ku compete kwenye level za kimataifa. Bado wanajitafuta sawa . Wamezidiwa na darasa la saba B akina musukuma, tabasamu na kishimba. Huna hoja
Kuzidiwa kufanya nn? Musukuma unaweza ukamuweka kwenye mdahalo una husisha uchumi au Sheria za Nchi ? Msukuma mpe mada za JPM ajengewe sanamu ,au hoja ya Mbowe mashamba yake yachukuliwe au labda ccm isitoe wabunge darasa la Saba kwenye Bunge,,
 
Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa


Tundu Antiphas Lissu
@TunduALissu
Follow

At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”

View attachment 2989040

View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047

View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050


Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
KUNA MWAMBA PALE UDSM ANAITWA PRIF MOSHA WA HESABU SIJUI MA.A YUKO HAJ NA ULIKUWA USHAZALIWA HATAREE..NANUSU
 
Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa


Tundu Antiphas Lissu
@TunduALissu
Follow

At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”

View attachment 2989040

View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047

View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050


Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
Akiliza kukream

Ngoja nisubirie coet waje humu....
 
Kuzidiwa kufanya nn? Musukuma unaweza ukamuweka kwenye mdahalo una husisha uchumi au Sheria za Nchi ? Msukuma mpe mada za JPM ajengewe sanamu ,au hoja ya Mbowe mashamba yake yachukuliwe au labda ccm isitoe wabunge darasa la Saba kwenye Bunge,,
Wewe kariri maugoro ya principle za uchumi za kizungu , na latin maxim za sheria uone kama utafikia utajiri wa musukuma. Hiyo midahalo inasaidia nini wakati umeshindwa kuotumia kutengeneza Pesa?
 
Mtu apewe nishani wakati anachukua vipanga tupu,angepewa shule ya Kata halafu aipandishe ndio ningempa kongole zake
 
Badala muwape nishani walimu wa shule za kata unawaza kutoa nishani kwa mwalimu wa shule ya vipaji? Yaani mtu kapelekewa wanafunzi ambao ni cream. Yani amepelekewa the cleanest ambao hata usipowafundisha wanafaulu. Yani shule za Vipaji wala hazihitaji nguvu kubwa ya usimamizi.

Kama ni nishani wapeni wakuu wa shule za kata ambazo wanazoa zoa lkn mwisho wa siku wanatoa kwenda mbele huko.

Kwa Ilboro HAPANA

NAWASILISHA
 
Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa



Tundu Antiphas Lissu

@TunduALissu
Follow

At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”

View attachment 2989040

View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047

View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050


Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
Hao alumni wa Ilboru wamebadilisha maisha ya Nani?
 
Very good man Mzee kwayu,,baada ya kwayu alikua muhaya mmoja mtata sana ,akaharibu mpaka tukaomba maandamano ,Majaliwa kasim akiwa naibu wazir tamisemi ndo alituokoa ,Majaliwa udumu sana ww ni mtu na nusu ,,,
Mutabuzi
 
Back
Top Bottom